Njoo kwa teller hapa we crdb sina tatizo
Either ni tapeli wa mapenzi au tapeli kwakusingizia kanisaangalia/soma kwa umakini post namba 5 hapo juu
Umemwelewa maana yake usije utapeliwe. Kwanini asiweke ushauli wake hadhalanitayari mkuu
oh wow,this is not a pornhub comments section...tatizo ni kwamba unatombwa kabla ya ndoa,
....
UMENIACHA HAPO MKUU, UNAMAANA?Either ni tapeli wa mapenzi au tapeli kwakusingizia kanisa
Duuh... Mara ya baridi, mara inatema, ya majimaji mara kubwa.. Tunashida jamani vyote ivyo viwe Perfect. Ukiwa perfect usiwe gogo ukiwa gogo kibuti bado kitakuhusuVile vile zingatia Usafi wa K. na yawezekana K. yako ni ya baridi, kimsingi kuna mambo mengi sana yanayoweza kusababisha hali hiyo ila wewe ndiye unayejua Zaidi, yawezekana ulishawahi kumtenda mwanaume au mtu yeyote sasa malipo ndo hayo, yaan kuna mambo mengi sana, wewe ndiye unayejua vizuri jinsi ulivyo
Utakuwa una vitabia vnavyoboa. JichunguzeHabari za mchana,
Mwenzenu nina tatizo yaani siwezi kudumu kwenye mahusiano wanaomipenda mimi siwapendi lakini nikiwapenda baada ya muda wananipotezea, nilikuwa na mwanaume mwanajeshi mwanzoni akawa ananipigia simu sana, hospitali akawa ananipeleka yeye mwenyewe. Baada ya muda nikawa nikiugua anadai hana pesa mara ooh! Kasafiri kikazi na muda huo hajaniaga. Ikawa kwa mwezi naweza kupigiwa mara mbili au tatu mapenzi yakaishia hewani, nikapiga moyo konde
Nikapata mwingine ni mhasibu wa shule fulani ya sekondari, mwanzoni naye mapenzi yakawa motomoto na ahadi kem kem, nikawa nahudumiwa hata kabla sijasema, simu kila wakati baadae naye akaacha kunitafuta, nikawa namtafuta nisipomtafuta hata zipite wiki kadhaa yeye yuko kimya tu na whatssap yuko online, facebook yuko active.
Nimeshajitahidi kumweleza zaidi ya mara tatu anaomba msamaha lakini hajirekebishi. Nimejitahidi kumweleza nmana ninavyompenda lakini wapi. mwenzangu hana habari, ukweli ni kwamba nampenda mno sijui tatizo langu likowapi, sichepuki wala simpigi mizinga, amekuwa mzito kujibu meseji zangu nikituma leo zinaweza kujibiwa baada ya siku tatu au nne.
Msinichoke tafadhali, mnisaidie wala msinitukane, ukijisikia kutukana uzi huu haukuhusu.
Nawasilisha.