lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
(on red) kampuni kama hizi unakuta hata wafanykazi anayedumu muda mrefu ni miezi sita labda ukiondoa ndugu zao. angalia hata site zao walizojenga petrol stations, zote zina utata na hata walivyojenga havina hata uimara unaoeleweka alafu utegemee hizi kampuni kuweza kumaintain standards kama za BP au TOTAL!
Tunavutia wawekezaji na sasa 'potential investors' wanaanza kuondoka nasi tunabakia na ngonjera zilezile za 'uchumi unakua'!
Tunavutia wawekezaji na sasa 'potential investors' wanaanza kuondoka nasi tunabakia na ngonjera zilezile za 'uchumi unakua'!
Uko sawa kabisa. Ni hasara kubwa sana kwa nchi za Afrika kukosa makampuni makubwa kama Shell na BP. BP na Shell ziko kwenye top ten richest ans large companies in the world. Kwa sasa nafikiri Shell ndio kampuni ya Pili kwa utajiri ikizidiwa na General Electric (GM) ya marekani. Ajira kwenye kampuni hizi ni bora kuliko hata serikali. Yaani tu ni kwa kutojua tunafikiri BP ikiondoka tumepata nafuu lakini tumepata hasara kubwa. Kijana mwenye elimu yake nzuri aliyemaliza chuo kikuu vizuri angepata ajira nzuri kwenye makampuni haya tu na si Moil, Cameloil, Lake oil na wababaishaji wengine. Yaani huko ni wizi tu. Watu hawalipwi vizuri hakuna akiba ya uzeeni. Manake ni kuwa watu wanaokuwa na ajira nzuri wanaoweza kuendeleza jamii zetu maskini wamepungua tunaishia kubanana kwenye hivi vikampuni uchwara vya wahindi, waarabu na wasomali. Ni aibu kwetu waafrika kuwa haya makampuni yamekuwepo miaka 50 wanaondoka hatuna makampuni yetu yaliyosimama tunabaki kuanza upya na wezi wa kihindi na kiarabu. Yaani tumeruka mkojo na kukanyaga mavi.