Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Wana jamii.
Nimesoma katika economic forum na kuona BP imeamua kuuza hisa zake zote ilizokuwa inamiliki katika BP Tanzania kwa mwekezaji mwingine na hivyo kujitoa rasmi katika umiliki wa kampuni hiyo ndani ya Tanzania.
Na sababu walizobainisha ni kwa kuwa biashara ya mafuta inaendeshwa kisiasa zaidi na mamlaka za Tanzania na kwa kuwa wao hawakuwa tayari kugombana na mamlaka hizo ndani ya TZ wameamua kujitoa rasmi kwa kuuza hisa zao zote 50% kwa kampuni nyingine.
My Take: Je ni wapi waTZ watapata mafuta kwa ajili ya magari yao yasiyochakachuliwa? na vipi mafuta ya ndege itakuwaje?
Nawapa Pole wa Tz na kuwapongeza BP kwa kujali ubora wa bidhaa zenu.
Nimesoma katika economic forum na kuona BP imeamua kuuza hisa zake zote ilizokuwa inamiliki katika BP Tanzania kwa mwekezaji mwingine na hivyo kujitoa rasmi katika umiliki wa kampuni hiyo ndani ya Tanzania.
Na sababu walizobainisha ni kwa kuwa biashara ya mafuta inaendeshwa kisiasa zaidi na mamlaka za Tanzania na kwa kuwa wao hawakuwa tayari kugombana na mamlaka hizo ndani ya TZ wameamua kujitoa rasmi kwa kuuza hisa zao zote 50% kwa kampuni nyingine.
My Take: Je ni wapi waTZ watapata mafuta kwa ajili ya magari yao yasiyochakachuliwa? na vipi mafuta ya ndege itakuwaje?
Nawapa Pole wa Tz na kuwapongeza BP kwa kujali ubora wa bidhaa zenu.