Halafu naomba waandishi wetu wajifunze ku-analyse habari kabla ya kubandika vichwa vya habari magazetini. The way walivyoripoti hii habari ni kwamba the winner ni EWURA, Kumbe EWURA NA TZ ndo loosers, kwani hata mkuu wa ewura kichwa kilimvimba kwa kuona wamewaweza bp. Kumbe hawa bp walichokifanya baada ya kuuza shea zao zote, Puma sijui nini wakazinunua, wameamua kuwasafishia njia Puma, na ili puma wa-sign deal lazima bp wasiwe na kesi yoyote mahakamani, au bad reputation na partners wao yaani TZ govt. So msamha wa bp si wa kweli, ni kujisafisha tu kwa wanunuzi wa shea zao. Wameona hailipi kufanya business TZ.