Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Mdada anasema eti ananipenda lakini hana uhakika kama 2tadumu katika mahusiano et kisa ye yupo Ccm na mimi nipo Chadema.
Kauli hyo aliitoa juzi baada ya kuniona nimejikita zaidi katika kufuatilia mchakato wa uchaguz wa Arumeru na maeneo mengne.
Amechukia vile nampotezea.
Ukweli ni kwamba ni kweli nilikuwa nafuatilia sana ishu ya Arumeru katika mtandao na pia kwenda huko.
Kisa kikubwa ni kwamba nilisafiri kwenda Arumeru siku ambayo ilikuwa ni birthday ya dada ake na altamani sana niwepo ili anitambulishe kwa nduguze.
Kauli hyo aliitoa juzi baada ya kuniona nimejikita zaidi katika kufuatilia mchakato wa uchaguz wa Arumeru na maeneo mengne.
Amechukia vile nampotezea.
Ukweli ni kwamba ni kweli nilikuwa nafuatilia sana ishu ya Arumeru katika mtandao na pia kwenda huko.
Kisa kikubwa ni kwamba nilisafiri kwenda Arumeru siku ambayo ilikuwa ni birthday ya dada ake na altamani sana niwepo ili anitambulishe kwa nduguze.