Wewe ni mwanachama wa TLS?
Wewe ni mwanachama wa TLS?
Laki 7?Wakili house fees ni laki 4 : ada zote mpaka Sasa binafsi it's around laki 7
Ma profesa wa sasa hivi sawa na mwanafunzi wa darasa la saba, na huyo wa la saba ni bora zaidi ya profesaMtoa mada umesema:-
"TLS NA SIASA INAELEKEA WAPI???? Katika uongozi wa Fatma Karume mawakili wamekua wakidharaulika kufikia hata kuitwa mashoga."
Nakujibu kwamba:-
"MAPROFESSA NA SIASA INAELEKEA WAPI????
Katika uongozi wa JIWE, maProfessa wamekua wakidharaulika kufikia hata kuitwa mashoga."
Shwaini
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama kaleta majangaLaki 7?
Na hapo ukilipia leseni ya biashara laki 3 yaani ushalipa milioni na hujalipia rent ya ofsi, umeme wala maji..
Du! Sasa sisi wanyonge tukienda kwa mawakili tutaweza kumudu kulipia gharama zao?
Wakili ni mmoja tu duniani TL au sio Kamanda?Hivi kweli wee ni Wakili..?!!
Sekta ya Sheria itakuwa ina HASARA kubwa.
akimaliza huyu anakuja peter kibatalaIna maana kina jenerali ulimwengu walipompigia kura hawakujua haya..?basi watakuwa mabogus.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada umesema:-
"TLS NA SIASA INAELEKEA WAPI???? Katika uongozi wa Fatma Karume mawakili wamekua wakidharaulika kufikia hata kuitwa mashoga."
Nakujibu kwamba:-
"MAPROFESSA NA SIASA INAELEKEA WAPI????
Katika uongozi wa JIWE, maProfessa wamekua wakidharaulika kufikia hata kuitwa mashoga."
Shwaini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu ilipandahao jamaa ni mafala sana. toka walipomuweka lissu kuwa rais wao credibility yao kwangu ilishuka sana.
hao jamaa ni mafala sana. toka walipomuweka lissu kuwa rais wao credibility yao kwangu ilishuka sana.
Mtoa mada umesema:-
"TLS NA SIASA INAELEKEA WAPI???? Katika uongozi wa Fatma Karume mawakili wamekua wakidharaulika kufikia hata kuitwa mashoga."
Nakujibu kwamba:-
"MAPROFESSA NA SIASA INAELEKEA WAPI????
Katika uongozi wa JIWE, maProfessa wamekua wakidharaulika kufikia hata kuitwa mashoga."
Shwaini
Sent using Jamii Forums mobile app