Kumbukumbu zangu zasema kuwa shindano lile la Big Brother lakiuka maadili ya mtanzania baada ya shindano/mashindano kadhaa yaliyopita kuwa na kasoro fulani fulani... Au ndio mpaka baada ya miaka kadhaa ndio waje wafanye kama kwenye mambo ya ulimbwende uliotangaza wizara kua hawatambui mashindano ya miss tanzania?