unataka watoe coverage kwa chadema na kanisa peke ake? Are these pple not part of this country?wewe ndio una haki peke yako?
unataka watoe coverage kwa chadema na kanisa peke ake? Are these pple not part of this country?wewe ndio una haki peke yako?
Habriya Leo saa mbili usiku
Kwa mujibu wa maadili ya vyombo vya habari hasa wakati huu wa amani tukiwa tumeiweka rehani si sahihi walivyofanya ITV
1.Kumpa airtime kiongozi wa uamshoo kutoa tamko lake la kuipa selikali masaa 26 na kuhamasisha uamsho wenzake kwa lolote litakalotangazwa.
2.Kumpa airtime mwislamu aliyekeamatwa ikulu kutamka yale maneno ambayo ni wazi yanahamisha hata wale ambao walikuwa wameamua kutulia majumbani kuingia mtaani kutetea kile wanachokiamini.
Kwa wakati huu vyombo vyetu vya habari vyapaswa kuwa makini sana.katika Agenda Setting na Framinig la sivyo tutabaki kuangalia biashara huku amani tunaipoteza.Ni ushauri
wamefanya vizuri ili kesho wakiifuta uamsho wasijitetee kuwa ni jumuia ya kidini zaidi ya kikundi cha kigaidi.
Habriya Leo saa mbili usiku
Kwa mujibu wa maadili ya vyombo vya habari hasa wakati huu wa amani tukiwa tumeiweka rehani si sahihi walivyofanya ITV
1.Kumpa airtime kiongozi wa uamshoo kutoa tamko lake la kuipa selikali masaa 26 na kuhamasisha uamsho wenzake kwa lolote litakalotangazwa.
2.Kumpa airtime mwislamu aliyekeamatwa ikulu kutamka yale maneno ambayo ni wazi yanahamisha hata wale ambao walikuwa wameamua kutulia majumbani kuingia mtaani kutetea kile wanachokiamini.
Kwa wakati huu vyombo vyetu vya habari vyapaswa kuwa makini sana.katika Agenda Setting na Framinig la sivyo tutabaki kuangalia biashara huku amani tunaipoteza.Ni ushauri
lazima waandishi wajifunze kutowapa hawa jamaa coverage kijinga na si hapo tuu wakiwa mahakamani,ilibidi isirushwe live kwani wanaweza jikuta wakitumiwa kuwafikishia hawa jama ujumbe bila jijua.
unataka watoe coverage kwa chadema na kanisa peke ake? Are these pple not part of this country?wewe ndio una haki peke yako?
itv ni tv ya Mkristo
Naendelea kusikitika kuona watu hawajui maana ya vyombo vya habari.
Yani hujui umuhimu wa kuonesha matukio yale? So sadddddddd
mbona vyombo vya habari vya marekani vinayapa magaidi airtime pale yanapotoa taarifa zao hasa mikanda ya video?