Si sahihi kwa ITV kuwapa Airtime uamsho kwa hali ilivyo sasa.

ni haki ya kila raia kpata habari, ITV wasingetoa habari hii cdhani kama kuna mu ambaye angejua kuhusiana na tamko hilo
 
unataka watoe coverage kwa chadema na kanisa peke ake? Are these pple not part of this country?wewe ndio una haki peke yako?

Uamsho ni issue sasa hivi wamejionyesha ni magaidi.Na kiongozi wa ugaidi kutumia vyombo huru na salama kueneza propaganda za ugaidi ni kosa.Sasa unakuwa furious nini?Mengi angekuwa kifikiria kama nyinyi si angesema hawezi tangaza issue za waislam kwani hayupo tayari waudhi.

kanisa linawapa donge sana.Rejection is a painful blow to islam.Islam ni dini yenye low self esteem ndio maana maana wanafanya fujo kwa wengine.Kama ni wachache wanachafua dini yenu nyie si wababe kwanini msiwaadhibu hao wachache wanaochafua mnakuja wahubiria waliochafuliwa zaidi na wenzenu?

Naona mmeamua mkomoa Mungu wa kweli kwa kutumia moto kuchomea vyote vimauwakilishavyo duniani,kwa vile anamchomaMungu wenu jehanum?Sicheki nakupa ukweli kimeo wewe.kamuuize shehe wenu.
 
huo ndio uhuru wa vyombo vya habari naona mtowa maada bado anaakili finyu juu ya hili.Mbona aljezira wanonesha hadi kwenye front line kabisa ya mapambano,huachi kuona.na wewe utakuwa mmoja wao hutaki umma ujue mambo yenu.
 
Habriya Leo saa mbili usiku
Kwa mujibu wa maadili ya vyombo vya habari hasa wakati huu wa amani tukiwa tumeiweka rehani si sahihi walivyofanya ITV
1.Kumpa airtime kiongozi wa uamshoo kutoa tamko lake la kuipa selikali masaa 26 na kuhamasisha uamsho wenzake kwa lolote litakalotangazwa.
2.Kumpa airtime mwislamu aliyekeamatwa ikulu kutamka yale maneno ambayo ni wazi yanahamisha hata wale ambao walikuwa wameamua kutulia majumbani kuingia mtaani kutetea kile wanachokiamini.

Kwa wakati huu vyombo vyetu vya habari vyapaswa kuwa makini sana.katika Agenda Setting na Framinig la sivyo tutabaki kuangalia biashara huku amani tunaipoteza.Ni ushauri






kiukweli nimeshangazwa na itv kumpa airtime yule bwana aliyekamatwa pale ikulu
 
sisi huku walikata umeme wameleta baada ya taarifa kuisha.!
 
Uhuru wa kuongea si uhuru wa kusema.Pamoja na kuwepo kwa uhuru wa kupata na kutoa habari kwa raia na taasisi zozote inapasa kuhakikisha kuwa uhuru wa mwingine hauvurugwi kwa vyovyote vile.Mfano, uhuru wangu si wa hadi kutukana wengine na atakayenisaidia kutukana atakuwa na hatia pia kwani si kwema.
Angalizo la mtoa mada binafsi naliona katika mtazamo huo na nadhani hakuna ambaye angependa kusikia katukanwa au kutishiwa maisha kupitia vyombo vya habari ambavyo vimempa mtukanaji uhuru wa kusema badala ya uhuru wa kuongea.
 
Ina sikitisha kuona mwana jf hajui maana ya uandishi wa habari na vyombo vya habari.

Habriya Leo saa mbili usiku
Kwa mujibu wa maadili ya vyombo vya habari hasa wakati huu wa amani tukiwa tumeiweka rehani si sahihi walivyofanya ITV
1.Kumpa airtime kiongozi wa uamshoo kutoa tamko lake la kuipa selikali masaa 26 na kuhamasisha uamsho wenzake kwa lolote litakalotangazwa.
2.Kumpa airtime mwislamu aliyekeamatwa ikulu kutamka yale maneno ambayo ni wazi yanahamisha hata wale ambao walikuwa wameamua kutulia majumbani kuingia mtaani kutetea kile wanachokiamini.

Kwa wakati huu vyombo vyetu vya habari vyapaswa kuwa makini sana.katika Agenda Setting na Framinig la sivyo tutabaki kuangalia biashara huku amani tunaipoteza.Ni ushauri
 
acha hayo mambo yakizamani hata ITV wasingetoa BBC walishasema hayo mahojiano na huyo Dereva wa Kiongozi wa kundi la kigaidi UAMSHO
 
Naendelea kusikitika kuona watu hawajui maana ya vyombo vya habari.

Yani hujui umuhimu wa kuonesha matukio yale? So sadddddddd
lazima waandishi wajifunze kutowapa hawa jamaa coverage kijinga na si hapo tuu wakiwa mahakamani,ilibidi isirushwe live kwani wanaweza jikuta wakitumiwa kuwafikishia hawa jama ujumbe bila jijua.
 
Where cdm come from?
Where churches come from? Is that part of the thread?
Cant you stand a lone?
Lets discuss topic, leave cdm out of this!



unataka watoe coverage kwa chadema na kanisa peke ake? Are these pple not part of this country?wewe ndio una haki peke yako?
 
mbona vyombo vya habari vya marekani vinayapa magaidi airtime pale yanapotoa taarifa zao hasa mikanda ya video?
 
ITV wanapaswa kutambua kwamba kukitokea uvunjifu wa amani na damu kumwagika watakuwa na sehemu katika hilo na watawajibika kama walivyowahi kuwajibika waliohamasisha mauaji ya Rwanda 1994 kwa radio.
 
Naendelea kusikitika kuona watu hawajui maana ya vyombo vya habari.

Yani hujui umuhimu wa kuonesha matukio yale? So sadddddddd

Nani kakuambia sijui?Umewahi sikia ule mfano unaobadilishwa sana wa kijana aliyekuwa gerezani,akapokea barua ya babu yake ikimweleza alivyoshindwa palilia maua ktk garden,akamjibu kuwa babu usilime kwani nimeficha hela nilizoiba.Next kilichofuata ni polisi kwenda fukua kote.Then kijana baadaye akamwandikia babu kumpa pole na go ahead kwenda panda?

Media haziwezi rusha kila kitu kizembe, watu waliondelea ktk media hawanyi huo uvundo unaodhani kuwa ni akili.psycgopatic makini huweza wa command wafuasi wake walete vurugu na kuteka watu ili mtu wao aachiwe.Ama kwa vitendo wakati anaongea au ka kusema tuu.mfano ponda aseme...Wafuasiw angu hawatokubali niacha huku, kuliko waniache ni bora wamchinje IGP.unadhani kitafanyika nini?Wabongo mnatia huruma sana kwa uduni wa fikra.


Mkeo naye anaweza tongozwa bila ambiwa neno kutokana na jinsi unavyojibehave mbele wanaume wenzio ukiw ana mkeo.Ukifanya matendo yanayofanya mkeo am-notice mwanamume halfu ukaonyesha kuwa inawezekana basi peace iliyobaki anamalizia mwenye kila ubongo unapota nafasi au kukutana na huyo mwanamume.unabisha kawaulize watu wanaowajua mabinti wa kizanzibar na kupepesa macho yao wakati midume yao ikiwa bize na malkiti na sura za kuwatisha wake wao hata wakati wakiona lovely side ya strangers.
 
wote watetewe sawa, lakini kukojolea msahafu ni sawa kwa sababu mwislamu kautoa ukojolewe, sasa wewe ulitaka dogo aunyee kabisa?
 
mbona vyombo vya habari vya marekani vinayapa magaidi airtime pale yanapotoa taarifa zao hasa mikanda ya video?

Polisi wenyewe walipgwa pini kiaiana sasa hivi vigaidi si issue?Si bora wakawape Bongo star search wakajishebedue na mchojo wao wa ana anado
 
Back
Top Bottom