Hujaambiwa Jangwani yote bali kwenye ule uwazi tuuu, mwalimu wako alikuwa na shida kweli ndo maana mnatuchelewesha kwenye mabadiliko sababu ya kuchelewa kuelewa na mkielewa wagumu kubadilishwa aaaaaargh
| ||
|
Nimesikia tetesi eti mtu aliyesoma dua ya kiislamu jana mkutanoni ndiye anayetumia ID ya 'Ritz' humu JF hebu jitokeze unijuze mkuu.
Dua ya Kiislam kwenye mkutano wa mungu Yesu ilifuata nini? Njaa mbaya!Nimesikia tetesi eti mtu aliyesoma dua ya kiislamu jana mkutanoni ndiye anayetumia ID ya 'Ritz' humu JF hebu jitokeze unijuze mkuu.
Mkutano Unaonyesha ulikuwa Mzuri sana, Umati Mtulivu Viongozi hotuba Zao zilikuwa zinavutia zinazungumizia Usahihi wa
Hali ya nchi inavyotakiwa kuendeshwa.
Ukemeaji wa Udini na Ukabila hiyo ilikuwa ni bora na sahihi kweli; Raisi kuwa na Nguvu ya kuteua bila ya kuwa na uwalakini wa kuulizwa
Uteuzi wake ulitokana na nini? Bei za Vyakula kuongezeka na Nguvu za dola kupendelea CCM
Kamanda wetu Mbowe katangaza kuanzia leo uwanja wa jangwani palipofanyika mkutano leo pataitwa Chadema square.
Mbowe kazungumza mengi ila nasikitika kuwa hakuzungumzia suaka la kupambana na ukosefu wa ajira ambao vijana wengi huugulia. suala la ajira (unemployment) ni nyeti sana kupita hata kukemea udini na ukabila. Tanzania ni moja ya mataifa machache africa ambayo ni anti west and anti semite. Huwezi kupambana na na swala la ukosefu wa ajira kwa vijana ikiwa bado nchini kuna magroup ya watu ambao ni anti west na anti semites( watu wachukiao ustawi wa mataifa ya ulaya magharibi, USA na wenye chuki kwa kuwepo kwa taifa la Israel)
Sasa mbowe tunaomba ukiwa ktk mkutano mtamu kama huo wa jana, tuelezee kwa kina, utapambana vipi na swala la ukosefu wa jira? wewe ukiwapa watu ajira inayoeleweka masuala ya dini /ukabila yanatoweka kabisaa. wewe mwenyewe ona kule Uturuki na Indonesia kwenye waislamu wengi, hakuna kabisaa vurugu za kidini kwa sababu ya kuwa na low unemployment rate ktk jamii zao.
Mbowe kazungumza mengi ila nasikitika kuwa hakuzungumzia suaka la kupambana na ukosefu wa ajira ambao vijana wengi huugulia. suala la ajira (unemployment) ni nyeti sana kupita hata kukemea udini na ukabila. Tanzania ni moja ya mataifa machache africa ambayo ni anti west and anti semite. Huwezi kupambana na na swala la ukosefu wa ajira kwa vijana ikiwa bado nchini kuna magroup ya watu ambao ni anti west na anti semites( watu wachukiao ustawi wa mataifa ya ulaya magharibi, USA na wenye chuki kwa kuwepo kwa taifa la Israel)
Sasa mbowe tunaomba ukiwa ktk mkutano mtamu kama huo wa jana, tuelezee kwa kina, utapambana vipi na swala la ukosefu wa jira? wewe ukiwapa watu ajira inayoeleweka masuala ya dini /ukabila yanatoweka kabisaa. wewe mwenyewe ona kule Uturuki na Indonesia kwenye waislamu wengi, hakuna kabisaa vurugu za kidini kwa sababu ya kuwa na low
unemployment rate ktk jamii zao.