Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,436
- 25,578
Leo nilikuwa Chadema Square.
Mnajua jna la jangwani limetokana na nini? Tuachieni historia yetu.
hii nimeipenda!Mr Sugu nae kasema kutamka
sisiem unajijumuisha na wewe hivyo tuwe tunawaita NYINYIEM.
.
Wana Yanga hatujakubaliana na hilo. mnataka sasa tuwe Yanga ya chadema skuwea hatujakubali hilo. hamjajua sie ni CCM eeh...
hujakosea kutetea rangi ya jezi yenu na ccm zinafanana,ndio maana club ina mgogoro na ccm ina mgogoro,ccm inakufa na yanga inakufa!Wana Yanga hatujakubaliana na hilo. mnataka sasa tuwe Yanga ya chadema skuwea hatujakubali hilo. hamjajua sie ni CCM eeh...
vipi wewe upo? mbona umeadimika sana?Haina mshiko kakosea maboya.
Wana Yanga hatujakubaliana na hilo. mnataka sasa tuwe Yanga ya chadema skuwea hatujakubali hilo. hamjajua sie ni CCM eeh...
Mnajua jna la jangwani limetokana na nini? Tuachieni historia yetu.
Kamanda wetu Mbowe katangaza kuanzia leo uwanja wa jangwani palipofanyika mkutano leo pataitwa Chadema square.
Power.............!kweli bana..
peopleeeeez
Mnajua jna la jangwani limetokana na nini? Tuachieni historia yetu.
Kamanda wetu Mbowe katangaza kuanzia leo uwanja wa jangwani palipofanyika mkutano leo pataitwa Chadema square.
Haina mshiko kakosea maboya.