Si Jangwani tena, ni CHADEMA square!

Makitauo

Member
Apr 30, 2012
99
21
Kamanda wetu Mbowe katangaza kuanzia leo uwanja wa jangwani palipofanyika mkutano leo pataitwa Chadema square.

5.jpg

9.jpg

Sehemu ya umati uliohudhuria
 
Yap kuanzia leo pale ni jangwani ni CHADEMA SQUARE.

big up Mbowe kamanda wa anga.
 
Kuanzia leo Jangwani pataitwa Kanda ya kaskazini square, nadhani hii imekaa vizuri kwa wale waNapelism.
 
Mnajua jna la jangwani limetokana na nini? Tuachieni historia yetu.
 
Wana Yanga hatujakubaliana na hilo. mnataka sasa tuwe Yanga ya chadema skuwea hatujakubali hilo. hamjajua sie ni CCM eeh...
 
Mr Sugu nae kasema kutamka
sisiem unajijumuisha na wewe hivyo tuwe tunawaita NYINYIEM.
.
 
New name tutali2mia patakuwa kama pale misri tahariri! Mambo mazuri hayo, ccm hawawezi kuujaza hata wakisomba watu na malori.
 
Pipoz powaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....Dar hiyo taratibu inaponyoka mikononi mwa magamba.

Alutta continua! continua!

5SNd69gP+bL3dR8Tb8Yi9F5KlrEhxzWmlk1QgPVho64nN1qRhMWjrkaK6K45XNnWlV10Ym2u+oalGepBh9aRVFub1ZAUBRsdScvjndpendeWXBMlVYhmpRjJVh0aoc8hZRHkVaDWXViSHGRAg8Ar7evnGigAZO0tLi3mb6MYr7Gb7m3C6O0tsTNEma8o80UgmGQ24V2ztEsdaAAA7
5SNd69gP+bL3dR8Tb8Yi9F5KlrEhxzWmlk1QgPVho64nN1qRhMWjrkaK6K45XNnWlV10Ym2u+oalGepBh9aRVFub1ZAUBRsdScvjndpendeWXBMlVYhmpRjJVh0aoc8hZRHkVaDWXViSHGRAg8Ar7evnGigAZO0tLi3mb6MYr7Gb7m3C6O0tsTNEma8o80UgmGQ24V2ztEsdaAAA7
5SNd69gP+bL3dR8Tb8Yi9F5KlrEhxzWmlk1QgPVho64nN1qRhMWjrkaK6K45XNnWlV10Ym2u+oalGepBh9aRVFub1ZAUBRsdScvjndpendeWXBMlVYhmpRjJVh0aoc8hZRHkVaDWXViSHGRAg8Ar7evnGigAZO0tLi3mb6MYr7Gb7m3C6O0tsTNEma8o80UgmGQ24V2ztEsdaAAA7
5SNd69gP+bL3dR8Tb8Yi9F5KlrEhxzWmlk1QgPVho64nN1qRhMWjrkaK6K45XNnWlV10Ym2u+oalGepBh9aRVFub1ZAUBRsdScvjndpendeWXBMlVYhmpRjJVh0aoc8hZRHkVaDWXViSHGRAg8Ar7evnGigAZO0tLi3mb6MYr7Gb7m3C6O0tsTNEma8o80UgmGQ24V2ztEsdaAAA7
5SNd69gP+bL3dR8Tb8Yi9F5KlrEhxzWmlk1QgPVho64nN1qRhMWjrkaK6K45XNnWlV10Ym2u+oalGepBh9aRVFub1ZAUBRsdScvjndpendeWXBMlVYhmpRjJVh0aoc8hZRHkVaDWXViSHGRAg8Ar7evnGigAZO0tLi3mb6MYr7Gb7m3C6O0tsTNEma8o80UgmGQ24V2ztEsdaAAA7
 
Back
Top Bottom