Shy-Rose Bhanji awapa makavu CCM

Huyu alikuwa ni mzigo kwa CCM, hakuwa anaisaidia CCM bali kuichafua kutokana na ulevi wake hadi mahali pa kazi. Aibu aliyoletea taifa kwa kulewa mkutanoni na kufanya vurugu kwenye ndege sababu ya ulevi alitegemea Magu mzee wa vetting za usalama angempitisha.

Na anachofanya saivi anazidi ku prove Magu yupo sahihi, dada Shy Rose hastahili ile kazi, hana akili wala mkakati wowote, kama anategemea kumtisha Magu kwa kutukana na kushinda Ghetto na Halima Mdee huku akiposti ujinga ujinga kwenye mtandao ni wazi basi alikuwa hajaiva. Mwanaume mwenye akili akijerehiwa anafunga mdomo na kufanya mikakata ya chini kwa chini, mbona kina Malima, Mkuchika na RC wa Tabora wamerudishwa kwenye system.

Mwisho na muhimu, dada Shy-Rose chunga sana unavyoshinda shinda Ghetto na Halima Mdee, Ester Bulaya hafurahii kuja kuja kwako, wivu wa mapenzi mbaya, utakuja chomwa kisa bure.
hahaha..hiyo ya Ester Bulaya kumuonea wivu Halima Mdee imenichekesha sana
 
Huyu alikuwa ni mzigo kwa CCM, hakuwa anaisaidia CCM bali kuichafua kutokana na ulevi wake hadi mahali pa kazi. Aibu aliyoletea taifa kwa kulewa mkutanoni na kufanya vurugu kwenye ndege sababu ya ulevi alitegemea Magu mzee wa vetting za usalama angempitisha.

Na anachofanya saivi anazidi ku prove Magu yupo sahihi, dada Shy Rose hastahili ile kazi, hana akili wala mkakati wowote, kama anategemea kumtisha Magu kwa kutukana na kushinda Ghetto na Halima Mdee huku akiposti ujinga ujinga kwenye mtandao ni wazi basi alikuwa hajaiva. Mwanaume mwenye akili akijerehiwa anafunga mdomo na kufanya mikakata ya chini kwa chini, mbona kina Malima, Mkuchika na RC wa Tabora wamerudishwa kwenye system.

Mwisho na muhimu, dada Shy-Rose chunga sana unavyoshinda shinda Ghetto na Halima Mdee, Ester Bulaya hafurahii kuja kuja kwako, wivu wa mapenzi mbaya, utakuja chomwa kisa bure.
Huwa unaenda kuwachugulia huko ghetto?
Acha umbea wewe!?
 
Huyu alikuwa ni mzigo kwa CCM, hakuwa anaisaidia CCM bali kuichafua kutokana na ulevi wake hadi mahali pa kazi. Aibu aliyoletea taifa kwa kulewa mkutanoni na kufanya vurugu kwenye ndege sababu ya ulevi alitegemea Magu mzee wa vetting za usalama angempitisha.

Na anachofanya saivi anazidi ku prove Magu yupo sahihi, dada Shy Rose hastahili ile kazi, hana akili wala mkakati wowote, kama anategemea kumtisha Magu kwa kutukana na kushinda Ghetto na Halima Mdee huku akiposti ujinga ujinga kwenye mtandao ni wazi basi alikuwa hajaiva. Mwanaume mwenye akili akijerehiwa anafunga mdomo na kufanya mikakata ya chini kwa chini, mbona kina Malima, Mkuchika na RC wa Tabora wamerudishwa kwenye system.

Mwisho na muhimu, dada Shy-Rose chunga sana unavyoshinda shinda Ghetto na Halima Mdee, Ester Bulaya hafurahii kuja kuja kwako, wivu wa mapenzi mbaya, utakuja chomwa kisa bure.
Wote ni sawa if that is your analysis... We anayoyafanya unaona ni kweli alistahili kuwa Rais? Wote ni hao hao! ...."tuna rais wa ajabu, narudia, tuna Rais wa ajabu kweli kweli" by Tundu Lisu.
 
Shy-Rose Bhanji

Imekuwa ni desturi kwa baadhi ya WanaCCM kwamba kila ninapotoa maoni yangu ya kukikosoa chama changu au serikali wamekuwa wananishambulia kuwa ni sababu ya kukosa ubunge wa Afrika Mashariki. Sina chuki ya kukosa ubunge na hii naisema kutoka moyoni. Siku zote nimekuwa mkweli kwamba pale panapotakiwa kukosoa sijasita kufanya hivo na pale panapotakiwa kupongeza sijasita kufanya hivo. Kwa vile ninanyanyaswa sana ni vizuri nilitolee ufafanuzi: Huo ubunge siyo kwamba nilikosa lakini ni kutokana na majungu, fitna na roho mbaya ya baadhi ya watu....vita niliyopigwa ni kubwa sana na Mungu tu ndo anajua. Ni kweli kwamba niliumia sana sana kwasababu sikujua nimemkosea nini Rais Magufuli mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote. Isitoshe kazi yangu ya ubunge niliifanya kwa kujituma na kwa moyo wangu wote. Ulikuwa huniambii kitu pale lilipotajwa jina lake...nilifunga safari mpaka mikoani kumfanyia kampeni kwa pesa zangu mfukoni siyo kwamba anipe cheo, hapana ni kwasababu nilimwamini. Na Naomba niwaulize hivi JK angemkata jina Magufuli baada ya kushinda kura za maoni ndani ya chama angejiskiaje? Hakika angeumia lakini nina imani angemsamehe kama vile mimi nilivomsamehe. Hizi ni nafasi leo zipo na kesho hazipo. Ni sawa na kuja duniani na kesho tunaondoka. Naomba sana sana msininyanyase kwasababu mnaniumiza moyo wangu
Ccm mnawaza vyeo tu
 
Shy-Rose Bhanji

Imekuwa ni desturi kwa baadhi ya WanaCCM kwamba kila ninapotoa maoni yangu ya kukikosoa chama changu au serikali wamekuwa wananishambulia kuwa ni sababu ya kukosa ubunge wa Afrika Mashariki. Sina chuki ya kukosa ubunge na hii naisema kutoka moyoni. Siku zote nimekuwa mkweli kwamba pale panapotakiwa kukosoa sijasita kufanya hivo na pale panapotakiwa kupongeza sijasita kufanya hivo. Kwa vile ninanyanyaswa sana ni vizuri nilitolee ufafanuzi: Huo ubunge siyo kwamba nilikosa lakini ni kutokana na majungu, fitna na roho mbaya ya baadhi ya watu....vita niliyopigwa ni kubwa sana na Mungu tu ndo anajua. Ni kweli kwamba niliumia sana sana kwasababu sikujua nimemkosea nini Rais Magufuli mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote. Isitoshe kazi yangu ya ubunge niliifanya kwa kujituma na kwa moyo wangu wote. Ulikuwa huniambii kitu pale lilipotajwa jina lake...nilifunga safari mpaka mikoani kumfanyia kampeni kwa pesa zangu mfukoni siyo kwamba anipe cheo, hapana ni kwasababu nilimwamini. Na Naomba niwaulize hivi JK angemkata jina Magufuli baada ya kushinda kura za maoni ndani ya chama angejiskiaje? Hakika angeumia lakini nina imani angemsamehe kama vile mimi nilivomsamehe. Hizi ni nafasi leo zipo na kesho hazipo. Ni sawa na kuja duniani na kesho tunaondoka. Naomba sana sana msininyanyase kwasababu mnaniumiza moyo wangu
Pole
 
Shy-Rose Bhanji

Imekuwa ni desturi kwa baadhi ya WanaCCM kwamba kila ninapotoa maoni yangu ya kukikosoa chama changu au serikali wamekuwa wananishambulia kuwa ni sababu ya kukosa ubunge wa Afrika Mashariki. Sina chuki ya kukosa ubunge na hii naisema kutoka moyoni. Siku zote nimekuwa mkweli kwamba pale panapotakiwa kukosoa sijasita kufanya hivo na pale panapotakiwa kupongeza sijasita kufanya hivo. Kwa vile ninanyanyaswa sana ni vizuri nilitolee ufafanuzi: Huo ubunge siyo kwamba nilikosa lakini ni kutokana na majungu, fitna na roho mbaya ya baadhi ya watu....vita niliyopigwa ni kubwa sana na Mungu tu ndo anajua. Ni kweli kwamba niliumia sana sana kwasababu sikujua nimemkosea nini Rais Magufuli mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote. Isitoshe kazi yangu ya ubunge niliifanya kwa kujituma na kwa moyo wangu wote. Ulikuwa huniambii kitu pale lilipotajwa jina lake...nilifunga safari mpaka mikoani kumfanyia kampeni kwa pesa zangu mfukoni siyo kwamba anipe cheo, hapana ni kwasababu nilimwamini. Na Naomba niwaulize hivi JK angemkata jina Magufuli baada ya kushinda kura za maoni ndani ya chama angejiskiaje? Hakika angeumia lakini nina imani angemsamehe kama vile mimi nilivomsamehe. Hizi ni nafasi leo zipo na kesho hazipo. Ni sawa na kuja duniani na kesho tunaondoka. Naomba sana sana msininyanyase kwasababu mnaniumiza moyo wangu

Ulipoacha kazi yako Bank na kwenda kwenye siasa ulichukua risk kubwa sana Shy Rose. Kwenye siasa huwezi kujua kesho yako kwa sababu future yako iko mikononi mwa mtu. Survival ya wanasiasa wengi ni kucheza ngoma kwa mdundo inayolia hata kama hupendi!
 
Ulipoacha kazi yako Bank na kwenda kwenye siasa ulichukua risk kubwa sana Shy Rose. Kwenye siasa huwezi kujua kesho yako kwa sababu future yako iko mikononi mwa mtu. Survival ya wanasiasa wengi ni kucheza ngoma kwa mdundo inayolia hata kama hupendi!
siasa is mazafwaka
 
Shy-Rose Bhanji

Imekuwa ni desturi kwa baadhi ya WanaCCM kwamba kila ninapotoa maoni yangu ya kukikosoa chama changu au serikali wamekuwa wananishambulia kuwa ni sababu ya kukosa ubunge wa Afrika Mashariki. Sina chuki ya kukosa ubunge na hii naisema kutoka moyoni. Siku zote nimekuwa mkweli kwamba pale panapotakiwa kukosoa sijasita kufanya hivo na pale panapotakiwa kupongeza sijasita kufanya hivo. Kwa vile ninanyanyaswa sana ni vizuri nilitolee ufafanuzi: Huo ubunge siyo kwamba nilikosa lakini ni kutokana na majungu, fitna na roho mbaya ya baadhi ya watu....vita niliyopigwa ni kubwa sana na Mungu tu ndo anajua. Ni kweli kwamba niliumia sana sana kwasababu sikujua nimemkosea nini Rais Magufuli mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote. Isitoshe kazi yangu ya ubunge niliifanya kwa kujituma na kwa moyo wangu wote. Ulikuwa huniambii kitu pale lilipotajwa jina lake...nilifunga safari mpaka mikoani kumfanyia kampeni kwa pesa zangu mfukoni siyo kwamba anipe cheo, hapana ni kwasababu nilimwamini. Na Naomba niwaulize hivi JK angemkata jina Magufuli baada ya kushinda kura za maoni ndani ya chama angejiskiaje? Hakika angeumia lakini nina imani angemsamehe kama vile mimi nilivomsamehe. Hizi ni nafasi leo zipo na kesho hazipo. Ni sawa na kuja duniani na kesho tunaondoka. Naomba sana sana msininyanyase kwasababu mnaniumiza moyo wangu


Shy Rose, asilielie mitandaoni bali atulie maisha yaendelee. Na kwa style ya kumshambulia Mkiti ndio kabisa anaonesha vetting ilikuwa sahihi.
Namshauri akachukue busara kwa Mh. Maudline Castico ambaye aliwahi kufukuzwa CCM kuwa sio raia akiwa Mjumbe wa KK Taifa akafanya subira leo ni Waziri kwa Zanzibar.

Kimsingi, katika siasa majungu na fitna ni mambo ya kawaida hivyo pambana navyo uvishinde.
 
Shy-Rose Bhanji

Imekuwa ni desturi kwa baadhi ya WanaCCM kwamba kila ninapotoa maoni yangu ya kukikosoa chama changu au serikali wamekuwa wananishambulia kuwa ni sababu ya kukosa ubunge wa Afrika Mashariki. Sina chuki ya kukosa ubunge na hii naisema kutoka moyoni. Siku zote nimekuwa mkweli kwamba pale panapotakiwa kukosoa sijasita kufanya hivo na pale panapotakiwa kupongeza sijasita kufanya hivo. Kwa vile ninanyanyaswa sana ni vizuri nilitolee ufafanuzi: Huo ubunge siyo kwamba nilikosa lakini ni kutokana na majungu, fitna na roho mbaya ya baadhi ya watu....vita niliyopigwa ni kubwa sana na Mungu tu ndo anajua. Ni kweli kwamba niliumia sana sana kwasababu sikujua nimemkosea nini Rais Magufuli mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote. Isitoshe kazi yangu ya ubunge niliifanya kwa kujituma na kwa moyo wangu wote. Ulikuwa huniambii kitu pale lilipotajwa jina lake...nilifunga safari mpaka mikoani kumfanyia kampeni kwa pesa zangu mfukoni siyo kwamba anipe cheo, hapana ni kwasababu nilimwamini. Na Naomba niwaulize hivi JK angemkata jina Magufuli baada ya kushinda kura za maoni ndani ya chama angejiskiaje? Hakika angeumia lakini nina imani angemsamehe kama vile mimi nilivomsamehe. Hizi ni nafasi leo zipo na kesho hazipo. Ni sawa na kuja duniani na kesho tunaondoka. Naomba sana sana msininyanyase kwasababu mnaniumiza moyo wangu

Mods, fungueni uzi wa "mapambano na visasi visa katika ccm".
 
Back
Top Bottom