Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,400
- 114,332
Kusoma ni juhudi. Ila kuziponda hizo shule na kusema hazina mchamgo sio sahihi pia. Wengi wa jamaa waliosoma kwenye hizo shule wapo vizuri sana kitaaluma. Tanzania ina watu 4 waliowahi kuwa maraisi, wawili kati ya hao wamesoma hizo shule. (Nyerere - Tabora & Kikwete - Kibaha), Sumaye -Ilboru.
Hao ni wanasiasa tu, sasa nenda vyuoni kwa wahadhiri, serikalini, makampuni binafsi kaangalie key staff hasa kwenye engineering na IT. Kaangalie wanasheria n.k.
Nakubaliana na mtoa hoja kwamba hizi shule siku hizi hazisikiki, miaka ya nyuma zilikuwa zinashindana zenyewe kwa zenyewe
Sisi kweli tuna viwango vya chini sana.
I mean, kwa hiyo mtu kuwa mwanasheria maana ni kwamba ana kipaji maalumu?
Kwa vile Kikwete kasoma sijui Kibaha hivyo naye ana kipaji maalumu? Seriously? Ana kipaji gani huyu kilicho maalumu?
Kuwa mhadhiri wa chuo kikuu ni kuwa na kipaji maalumu?S
SMDH!