Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,761
Halafu sasa hivi hata selection zilizofanyika hazieleweki,
Kana kwamba goli limeongozwa ufaulu ukazidi?!
Division 1 Shule zile best eti anapekwa Shule ya Kata ,
Tena nyingine unakuta ina Mwaka mmoja Au 2 tu tangu kuanzishwa.
Kama kuwakomesha vile?!
Wangekuwa wanaweka vigezo wazi wananchi waelewe,
Kwa nchi zenye wananchi wanajielewa kupata taarifa, ufafanuzi n.k ni mambo ya msingi Na muhimu.
Kana kwamba goli limeongozwa ufaulu ukazidi?!
Division 1 Shule zile best eti anapekwa Shule ya Kata ,
Tena nyingine unakuta ina Mwaka mmoja Au 2 tu tangu kuanzishwa.
Kama kuwakomesha vile?!
Wangekuwa wanaweka vigezo wazi wananchi waelewe,
Kwa nchi zenye wananchi wanajielewa kupata taarifa, ufafanuzi n.k ni mambo ya msingi Na muhimu.