Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Dah hakuna kitu nilikua napenda kama kusoma bweni, O-level nilichaguliwa Mbeya Secondary ulifanyika mpango wa kunihamishia Tosamaganga likatokea zengwe, A-level nikapata post Rungwe dingi akagoma Comb hakuipenda nikahamia day tena. Chuo lazima hostel but mzuka sio kama wa Secondary.