Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Jamani
Kwa wale wenye Ratiba za Chama Cha Magamba, au za Mwenyekiti wake au za Ikulu kabisa
Ni lini Jakaya ataanza dhihara za mikoani kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura kwa
wingi yeye na chama chake kwenye uchaguzi wa Mwaka Jana, wengine tuliishazoea mambo
hayo, mbona amechelewa sana?
Kwa wale wenye Ratiba za Chama Cha Magamba, au za Mwenyekiti wake au za Ikulu kabisa
Ni lini Jakaya ataanza dhihara za mikoani kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura kwa
wingi yeye na chama chake kwenye uchaguzi wa Mwaka Jana, wengine tuliishazoea mambo
hayo, mbona amechelewa sana?