SILVANUS NJENGA
Senior Member
- Feb 8, 2012
- 174
- 12
hapa ndo maali petu tokea kitambo hicho:::::::::::::::::::: hvyo karibu sana Mama-Tibajuka, karibu sana Mbunge wangu.
Mama Tibaijuka binafsi nilifuatilia maisha yako kwa kifupi hasa pale ulipotaka UWT ijitegemee wakubwa wa CCM wakakuona mpinzani, lakini Mungu si athumani sasa hivi uko nao mnakula nchi kwa pamoja!
Hongera sana Mama etu uliye makini. Tunaomba umshaur na Anna Makinda ajiunge, tuna maswal mengi ambayo nahisi yeye atakua na majibu.