Shughuli yote nzuri ya kilele Cha Simba day imetiwa dosari na uletaji wa jeneza uwanjani

Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
Kazi ya msanii ni kuonensha sanaa yake kukubalika ama kutokukubalika hiyo sio shida Kama hilo jeneza lingetambulishwa na wachezaji ama viongoz wa simba basi ingalionekana Kama ttzo ila hao wasanii tu wanafanya hayo hata kwenye majonzi
 
Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
 
Hii Ni aibu kabisa
Mshana Jr
Mkuu .....uletwaji wa ilo dude (coffin) uwanjani..kulikuwa na maana gsni
Nini maana ya sanaa!? Walioleta ni wasanii walikuwa wanafanya sanaa.. Shida ingekuja kama lingekuwa na maiti ndani yake..HIYO TUSINGEITA SANAA.. Lakini kama ndani yake kulikuwa na kinyago kilichovishwa jezi za njano hiyo ni SANAA
simba.jpg
 
Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
Ni kweli
 
Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
Mkuu ile ni sanaa tu.
 
Mie ile kitu cjaipenda kwa kwel
Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
 
Spritually Simba kuingia na Jeneza ndani ya uwanja likiwa na shabiki waondani Ni ishara mbaya kwso. Kifupi wamejizika kaburini
 
Back
Top Bottom