johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,395
- 144,785
Makolo fc
Huwa mnaanza hivi hivi! Mwisho wa siku mnaishia kupigwa faini na CAF kwa sababu za kishirikina. Ikiwapendeza, mkubali tu kubadilika.unaogopa jeneza!? Hizo mbao tu
Kazi ya msanii ni kuonensha sanaa yake kukubalika ama kutokukubalika hiyo sio shida Kama hilo jeneza lingetambulishwa na wachezaji ama viongoz wa simba basi ingalionekana Kama ttzo ila hao wasanii tu wanafanya hayo hata kwenye majonziWasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
Sasa wameleta Jeneza uwanjani ili iweje?Wote huko tutaingia....msiogope ni mbao tu
Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
...Pale hapakuwa Mahali pake. Waende Maburini wapeleke Jeneza Lao...!Jeneza Si mbao tu?
Undertaker aliharibu WWE kwa kuingina na Coffin?
Jeneza linatatizo gani? Unaweza kutoa hoja yenye nguvu?
Nini maana ya sanaa!? Walioleta ni wasanii walikuwa wanafanya sanaa.. Shida ingekuja kama lingekuwa na maiti ndani yake..HIYO TUSINGEITA SANAA.. Lakini kama ndani yake kulikuwa na kinyago kilichovishwa jezi za njano hiyo ni SANAAHii Ni aibu kabisa
Mshana Jr
Mkuu .....uletwaji wa ilo dude (coffin) uwanjani..kulikuwa na maana gsni
Ni kweliWasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
Siku hizi unayumba sana.Nini maana ya sanaa!? Walioleta ni wasanii walikuwa wanafanya sanaa.. Shida ingekuja kama lingekuwa na maiti ndani yake..HIYO TUSINGEITA SANAA.. Lakini kama ndani yake kulikuwa na kinyago kilichovishwa jezi za njano hiyo ni SANAAView attachment 2318654
Mkuu ile ni sanaa tu.Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
Ingelikuwa Yanga ndo wameleta jeneza uwanjani wangelikuwa wameshaandikiwa barua ya wito usiku usiku kwenda kamati ya maadiliMimi ni mshabiki wa Simba SC lakini wamefanya UPUMBAVU NA UJINGA Mkubwa na wameharibu hii siku
Watu weusi tuna maujinga sana
Kwakuwa nimeandika kitu ambacho hujakipendaSiku hizi unayumba sana.
Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika
Mazishi ya kiroho hayako hivyoSpritually Simba kuingia na Jeneza ndani ya uwanja likiwa na shabiki waondani Ni ishara mbaya kwso. Kifupi wamejizika kaburini
unaogopa jeneza!? Hizo mbao tu