Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
Hello Wakuu JF
Mie sitaki kuhangaika na kuagiza gari toka Japan nataka kununua hapo hapo dar.Niko na Choice tatu tofauti za gari nazotaka...Kuna Toyota Volts,Toyota Harrier,Toyota Kluger.
But first ni Kluger nikosa ndio ntachukua zingine.Swali langu ni kwamba dar kuna show room kibao kama utitiri na kila mwenye nayo anatoa japan.Kama kuna mwenyeji anaye jua ni show room gani wanaleta gari zilizoko kwenye hali nzuri.....zinatoka sana so siwezi pata gari zilizo kaa muda mrefu...na kama kuna ushauri mwingine regarding kununua gari Dar Es Salaam utanisaidia sana.
Regards
Buswelu
Mie sitaki kuhangaika na kuagiza gari toka Japan nataka kununua hapo hapo dar.Niko na Choice tatu tofauti za gari nazotaka...Kuna Toyota Volts,Toyota Harrier,Toyota Kluger.
But first ni Kluger nikosa ndio ntachukua zingine.Swali langu ni kwamba dar kuna show room kibao kama utitiri na kila mwenye nayo anatoa japan.Kama kuna mwenyeji anaye jua ni show room gani wanaleta gari zilizoko kwenye hali nzuri.....zinatoka sana so siwezi pata gari zilizo kaa muda mrefu...na kama kuna ushauri mwingine regarding kununua gari Dar Es Salaam utanisaidia sana.
Regards
Buswelu