mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,770
- 7,122
Show imepigwa marufuku
Haya sasa Wema na idris wanakuja na yao itaitwa Instagram party
Kajitambua nn?
......nasubiri nione idadi ya watu watakao hudhuria hyo show
Ile show inayosubiriwa kwa na kuongelewa kila kona ya jiji la Dar es Salaam ya Diamond na Zari pale Mlimani city siku ya May mosi kiingilio cha juu ni shiling million 3 za kitanzania na cha chini ni elfu 50.
Msanii huyo billionea anayetoa bima ya afya kwa wakazi mia mbili wa Tandale kutibiwa bure ametaja leo viingilio hivyo.
Matumbo tayari anayo mkononi meza moja kwa ajili ya wanaJf kadhaa fans wa Diamond. Muda ukifika watatafutwa na kujulishwa kimya kimya na kila kitu kitaenda kimya kimya.
#Kimenuka
- Meza zote za Millioni Tatu na Millioni moja zimejaaa hahahahaha
Le Mutuz
Show imepigwa marufuku
bad timing! naona akila za uso!
3,000,000/=tshs kwa show gani labda kama wanaperfom uchi,
Moja la tangazo linasema kutakua na appearence ya diamond na shetta i was shocked ina maana diamond hatofanya show isipokua kuonekana tu akipiga story na audence- Meza zote za Millioni Tatu na Millioni moja zimejaaa hahahahaha
Le Mutuz