Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 64,325
- 115,394
ha ha ha ametangaza kiroho mbayaUmekurupuka wewe!! umeipata wapi hiyo ya mil3 kwa mtu mmoja??? Na inawezekana ushawatangazia na watu huko mtaani
ha ha ha ametangaza kiroho mbayaUmekurupuka wewe!! umeipata wapi hiyo ya mil3 kwa mtu mmoja??? Na inawezekana ushawatangazia na watu huko mtaani
Beautiful... then kaa mkao wa kula! Anything else?!
nani tena huyo? Au babu yetu le mutuz? Hahaha huyo yupo kwenye mchongo.
Mkuu hiyo elfu 3 yako itunze ununulie watoto zako mchele wapike pilau washerekee maana siku hiyo ni sikukuu ya Diamond na Zari.. Taifa zima litakuwa linasherekea.
Wale wazomeaji watasubiri kuzomea picha safari hii. Huko ni kwa watu wasafi wanaonukia wastaarabu.
hizo pesa ni bora mara elfu mkatoe sadaka..
Mkawasaidie yatima na wagonjwa..
Mkawasaidie wazee na wajane.
Mtapata thawabu mbele ya mungu na mtakuwa bora mbele ya mungu nauzima wamilele( pepo) mtaurithi.
Diamond anaimba kwa kutumia nini hadi kiingilio kiwe 3m per head? na akialikwa Jayz si itakuwa 5m.
"There is no wisdom in music"
Hilo lipo wazi my princess... wanted to know kama kuna kingine special kiwe a party package! anywa, wacha hiyo niifanye kuwa surprise...shopping ya vile vitu vyeupe babe
Mkuu wangu nimetumia pombe kama lugha ya picha tu! Ningesema "unakazana kuhubiri neno la Mungu baa" jibu kwako lingekuwa rahisi kwamba huko ndo hasa kunakotakiwa kuhubiriwa neno la Mungu ili watu wapate kumrejea Mungu wao! Nikaonelea kutumia neno "unakazana kutangaza pombe kwenye viwanja vya Iddi" kuonesha kwamba pamoja na nia yako njema, kwenye jukwaa hili hapatatokea wa kutilia maanani hikma zako! Lakini endelea kumwaga neno, na Ishallah, Mwenyezi Mungu atakulipa.
Hivi kwa viingilio hivi tuseme uchumi wa Tz umepanda au.. kwa wenye akili fupi kama zetu tunapima uchumi kwa vitu kama hizi :sly::sly:
Hhhaaaaaaaaaa fulani kama namuona angekua mbele pale kajiweka keshaandaa gauni loooo atammiss sana daimond ,