Show rooms za magari Dar

Guys, mimi naona imefika wakati serikali iweke utaratibu kutenga eneo maalum kuwa "soko" la magari yaliyotumika kama ilivyo Dubai.....sehemu moja au mbili zinatengwa, zenye eneo kubwa sana, kila anayetaka kuuza magari yake anaenda huko anapewa eneo (plot)!! Hii inasaidia sasa kuboresha mazingira ya jiji, maana sasa hizi show room karibu zinafika vyooni mwetu!! Mahala kama Kibaha au Mkuranga kungefaa sana...!! Kwa kuwa magari used yapo sehemu moja ni lazima watu watayafuata tu...centralised market!! Kuhusu kodi nadhani wanalipa laikini serikali iangalie sana rushwa hasa katika "kuyapitisha" hayo magari yaonekane yapo ok kumbe jamaa wameokota ambayo quality yake ni mbaya sana!! Mimi nimewahi kuingiza magari mawili nchini kwa matumizi binafsi ya familia, moja la 2001 na jingine la 2002! Magari yote yaliingia 2008, cha kushangaza kila gari nililipishwa kodi zaidi kwa madai kuwa ubora wake hauendani na bei (kwamba bei ni ndogo zaidi)!! Nimekuwa nikijiuliza, je hawa wanaoleta yaliyochoka huwa wanafanywaje? Nadhani hao ndiyo wangelipa kodi hata mara tatu zaidi maana after 2 years magari yote hayo ni mikweche.....
TRA, TAKUKURU, POLISI na Shirika la Viwango hebu angalieni hapo....
 
Ivi izi show rooms za magari amabazo kila kukicha zinafumuka is not about time serikali ikazichunguza???mana to me ni kama some type of money laundering techniques!!!mana ukiwa na USD 1-5M ivi na huwezi kuweka benki what will you do?
Zamani walikuwa wanajenga nyumba lakini hii imestukiwa kirahisi so nadhani wamehamia kwenye hii biashara mpya!!
Takukuru,TRA please investigate!!
Kwa mtazamo wangu naona ni biashara kama biashara nyingine kwakuwa kodi zote zinalipiwa kama inavyotakiwa.sioni tatizo lake kabisa.

TUKURURU NA TRA wachunguze nini?
 
ni sahihi mkuu...inafaa kufanyika unvestigation hapo

eneo jingine ni la biashara ya furnitures, hasa imported furnitures...ni kweli kuwa bongo imekuwa ni nchi ya consumers kwa hiyo biashara ambayo imelenga huko itauza sana lakini hao investors katika hiyo sekta ndio wenye kupaswa kuchunguzwa.

Wachunguzwe nini? pahala walipopata mtaji au kama wamelipa kodi?
 
kama ulikuwepo kaka. Gari inaagizwa kwa 6mil. Show room unaikuta kwa 12to 13mil. and ppl buy!! upff!!
Mi nafikiri tungewapongeza kwa kuwa wameweza kumshauri mnunuzi na kuridhika. kama mfanyabiashara utaweza kumake more than 100% profit,basi wewe ni succesful businesman na si wizi au utapeli kwakuwa biashara ni maelewano.
 
Ivi izi show rooms za magari amabazo kila kukicha zinafumuka is not about time serikali ikazichunguza???mana to me ni kama some type of money laundering techniques!!!mana ukiwa na USD 1-5M ivi na huwezi kuweka benki what will you do?
Zamani walikuwa wanajenga nyumba lakini hii imestukiwa kirahisi so nadhani wamehamia kwenye hii biashara mpya!!
Takukuru,TRA please investigate!!


kila gari inayoingia nchini, TRA, wanavuta chao, na bonded where house za magari wamefuta, ni biashara tu kama zingine!

ambazo ukiuliza mtaji umetoka wapi, hakuna wakueleza kodi inalipwa TRA
 
Halafu naskiaga eti wafanyakazi wa sirikali huwa wanapewa kaunafuu flani kwenye kodi za magari yenye cc flani. Naskiaga wakisha osha nyota nazo kwa saana town mwishoe wengi huwaga wanakujaga kuzirusha humu kwenye mashowroom. Ujinga mtupu.
Ni kweli wafanyakazi wa serikali wanapewa msamaha wa kodi yani exemption lakini ni mara moja ndani ya miaka mitano.lakini ni ngumu sana kumuuzia mtu mwingine bila kumwambia kama hiyo gari iliingizwa nchini kwa msamaha wa kodi,kwa kuwa pindi atakapopeleka kadi ya gari TRA kutaka kubadilisha habari za mmiliki,atatakiwa kulipia difference ya ushuru uliyosamehewa pindi gari hilo lilipoingizwa nchini kwakuwa habari zote za gari hilo wanazo kumbukumbu zake kwenye database yao.

kwahiyo hata kama watayapeleka magari hayo showroom kutaka kuyauza,basi magari hayo yatauzwa kwa bei ya chini kwakuwa mnunuzi atatakiwa kuilipia ushuru tena na hii inakuwaga wazi kwa muuzaji kwakuwa hakuna njia yoyote ya kumdanganya mteja kwakuwa itakuja kujulikana pindi atakapoenda TRA. Otherwise mnunuzi akubali kuitumia gari hiyo kwa jina la mmiliki wa kwanza.
 
kama ulikuwepo kaka. Gari inaagizwa kwa 6mil. Show room unaikuta kwa 12to 13mil. and ppl buy!! upff!!
You seems to be good in this industry, well and good. How will you help the ones who are looking for being customers of these tired van to decide wisely?
 
Guys, mimi naona imefika wakati serikali iweke utaratibu kutenga eneo maalum kuwa "soko" la magari yaliyotumika kama ilivyo Dubai.....sehemu moja au mbili zinatengwa, zenye eneo kubwa sana, kila anayetaka kuuza magari yake anaenda huko anapewa eneo (plot)!! Hii inasaidia sasa kuboresha mazingira ya jiji, maana sasa hizi show room karibu zinafika vyooni mwetu!! Mahala kama Kibaha au Mkuranga kungefaa sana...!! Kwa kuwa magari used yapo sehemu moja ni lazima watu watayafuata tu...centralised market!! Kuhusu kodi nadhani wanalipa laikini serikali iangalie sana rushwa hasa katika "kuyapitisha" hayo magari yaonekane yapo ok kumbe jamaa wameokota ambayo quality yake ni mbaya sana!! Mimi nimewahi kuingiza magari mawili nchini kwa matumizi binafsi ya familia, moja la 2001 na jingine la 2002! Magari yote yaliingia 2008, cha kushangaza kila gari nililipishwa kodi zaidi kwa madai kuwa ubora wake hauendani na bei (kwamba bei ni ndogo zaidi)!! Nimekuwa nikijiuliza, je hawa wanaoleta yaliyochoka huwa wanafanywaje? Nadhani hao ndiyo wangelipa kodi hata mara tatu zaidi maana after 2 years magari yote hayo ni mikweche.....
TRA, TAKUKURU, POLISI na Shirika la Viwango hebu angalieni hapo....
Showroom za magari ni kama biashara nyingine ilimradi magari yako usiyapaki ovyo nje ya uzio wako na kusababisha mtafauku kwa wapita njia...mkuu tukisema na baa zote zihamishiwe kibaha hiyo imekaaje?
 
Jamani maybe sikueleweka my point sio kwamba hawalipi kodi au nini ila kwa kuwa unaweza kuwa na hela chafu lets say 100k USD, naenda benki nafanya direct transfer to Japan or wherever naagiza gari nalitoa naliweka pale show room then mtu akija kulinunua namwambia aka deposit bank kwenye a/c ya kampuni niliofungulia iyo show room and thats where my question is!apo unakuwa umeshaziingiza hela chafu kwenye system na ata ukiulizwa na serikali ni rahisi kusema izi hela nalipwa na wanunuaji wa magari yangu so unaachiwa but do we know mitaji ya izi show rooms? silaumu ila ni waangaliwe kwa karibu tu thats all,kuna mdau ka-mention kuhusu cash economy hii pia ndo inasababisha money laundering ikue kwa sana,matokea yake izi hela zinaleta inflation kwenye economy yetu wachache wana more buying power than majority so usishangae we uko busy unaomba upunguziwe bei ya kodi kwa mama mwenye nyumba ye jioni katoa kodi ya mwaka mzima nyumba umekosa na huu ni mfano mmoja tu iko mingi kuanzia kufadhili wagombea uongozi feki pia hii issue inaathiri vitu vingi..naomba kuwakilisha tu!!! ni ayo tu!!
 
wamiliki wengi wa hizo Showrooms pia wananunua hayo magari kupitia minada inayoendeshwa na TRA na Bandari kwa yale magari ambayo waliyoyaagiza kutoka nje wameshindwa kuyalipia kuyatoa hapo bandarini.bei katika hiyo minada huwa ni za kawaida tu.
Sina tatizo na Showrooms nyingi ,ndio Biashara huria hiyo kaka.
 
Nadhani wale waagizaji wa moja kwa moja wajitangaze zaidi. Lakini ukweli ni kwamba kwa Tanzania clearing system bado ina wingu kubwa hasa kwa maafisa wa TRA hao wanaoshughulikia ukadiriaji wa kodi. Wana"hike figures unobjectively" na hii inaweka mianya ya rushwa na "inefficient clearomg process".
 
To me most of these vehicle dealers ni za watu wakubwa yaani viongozi wetu, na hii yoteeee ni money Laundry hakuna jingine.
Dorin, kuna VOGUE ziko barabarani ukiangalia ushuru ni wa BAJAJI, hapo sasa utajaza.
 
Ivi izi show rooms za magari amabazo kila kukicha zinafumuka is not about time serikali ikazichunguza???mana to me ni kama some type of money laundering techniques!!!mana ukiwa na USD 1-5M ivi na huwezi kuweka benki what will you do?
Zamani walikuwa wanajenga nyumba lakini hii imestukiwa kirahisi so nadhani wamehamia kwenye hii biashara mpya!!
Takukuru,TRA please investigate!!

Kweli kbsa, reason ni kwamba uki transfer hela kwenda uarabuni hata za uizi sheria sio kali kama uingereza na USA, esp. kwa kutumia TT.
 
Ivi izi show rooms za magari amabazo kila kukicha zinafumuka is not about time serikali ikazichunguza???mana to me ni kama some type of money laundering techniques!!!mana ukiwa na USD 1-5M ivi na huwezi kuweka benki what will you do?
Zamani walikuwa wanajenga nyumba lakini hii imestukiwa kirahisi so nadhani wamehamia kwenye hii biashara mpya!!
Takukuru,TRA please investigate!!

Na wewe ni mpelelezi pia? Kwani hivyo vyombo ulivyovitaja havijui kazi yao mpaka uviarifu kupitia hapa? Hii JF siku hizi vipi tena? I think it's time now wabongo kuangalia other critical/strategic societal issues. Hatuna maji, hatuna umeme, hatuna elimu, hakuna ajira , hatuna barabara, e.t.c
 
Back
Top Bottom