Should men be kept away from the delivery room?

Kwani mwnaume akiona itamsaidia nini ataacha kukumega?


kwanini aache? c mtu tu mwenyewe anapenda kuona hali halic, mie mr ndio alikuwa na kiherehere na kushuhudia baada ya frnd wake kushuhudia mkewe alivyojifungua na yeye anapata tamaa ya kuhakikisha, ilimpa shida sana kwa wakati ule yaani alikuwa ananionea huruma haamini kama mtoto anatoka mbali ki vile, na kwa upande mwingine ilimbadilisha mawazo sana, amekuwa ni mtu wa kunickiliza/kuniheshimu kuliko mwanzoni.
 
Nilivyokuja kumuuliza ilikuaje mbona nilipotoka tu mtoto alitoka, wife akaniambia walimwongeza njia kwa kisu. Tangu siku hiyo naheshimu sana wanawake na nimekua na mtizamo tofauti kabisa kwa wanawake.
Ila sipendi tena kushuhudia hiyo process. It is to dificult. Naona ni vyema wanaume walazimishwe kushuhudia angalau mara moja katika maisha yao, hii itawaadabisha wanaume wanaowanyanyasa wanawake.

Kuna watu hapa duniani wana ukatili wa nature.Yani ni wagumu kama wauaji wa albino au wachuna ngozi.Hata aingie aone mara ngapi,akitoka ameshasahau na dharau au manyanyaso kwa mkewe yanakuwa palepale.
 
Mimi kwa maoni yangu Wanaume wenyewe waachiwe uamuzi wa kuingia au kutoingia. Niliwahi kuona kipindi cha Oprah miaka mingi kidogo imepita kulikuwa na pande mbili katika hili, wengine walidai kitendo cha kuwaona wake zao au girlfriends wakijifungua kiliwafanya wawe karibu mno wa wake zao/GFs na kuwaheshimu zaidi na wengine walikuwa hawataki tena kufanya tendo la ndoa na wake zao kwa kudao kwamba hawatawatosheleza na hii ilisababisha hata ndoa nyingine kuvunjika. Kuna jamaa mmoja alidai baada ya kuona mkewe akijifungua mtoto wao wa kwanza alisema ndiyo mtoto wao wa kwanza na mwisho maana alidai ni mateso makubwa kwa mkewe.

Kwa hiyo basi hili waachiwe wanaume wenyewe kama una ujasiri wa kwenda kumuunga mkono na kumpa nguvu mkeo/GF wakati anajifungua kila la heri la kama unajijua huna ujasiri kama huo basi uwe mitaa ya jirani jirani shughuli ikimalizika wanakutonya Baba nanihii njoo umuone mwanao shughuli imeshamalizika na wote wako salama salmini. ;)
 
I suggest entering delivery room to be option not mandatory. To me, I don't see the reason of men entering in the delivery room. For the someone trained on the matter should, but if not it would take several months to forget what you observed in the delivery room.
 
I suggest entering delivery room to be option not mandatory. To me, I don't see the reason of men entering in the delivery room. For the someone trained on the matter should, but if not it would take several months to forget what you observed in the delivery room.
why do u want to forget so soon? kuona tu inakutisha.Ungepitia hiyo process je?
 
Kwa hiyo basi hili waachiwe wanaume wenyewe kama una ujasiri wa kwenda kumuunga mkono na kumpa nguvu mkeo/GF wakati anajifungua kila la heri la kama unajijua huna ujasiri kama huo basi uwe mitaa ya jirani jirani shughuli ikimalizika wanakutonya Baba nanihii njoo umuone mwanao shughuli imeshamalizika na wote wako salama salmini. ;)

Nakubaliana na wewe Mkuu iwe choice ya wanaume, Ila endapo Mkeo atasisitiza ushuhudie zoezi lenyewe utamkatalia? Nadhani kabla hujamkatalia fikiri kwanza jinsi anavyokua amechoka kutokana na ujauzito, Fikiri jinsi tumbo linavokua kubwa kiasi cha wakati mwingine kushindwa hata kulala, au wakati mwingine akiwa amelala usiku anashindwa kugeuka mpaka anakuombe usaidie kubeba tumbo na kulihamishia upande wa pili. Think about these kabla hujajibu.
 
Nakubaliana na wewe Mkuu iwe choice ya wanaume, Ila endapo Mkeo atasisitiza ushuhudie zoezi lenyewe utamkatalia? Nadhani kabla hujamkatalia fikiri kwanza jinsi anavyokua amechoka kutokana na ujauzito, Fikiri jinsi tumbo linavokua kubwa kiasi cha wakati mwingine kushindwa hata kulala, au wakati mwingine akiwa amelala usiku anashindwa kugeuka mpaka anakuombe usaidie kubeba tumbo na kulihamishia upande wa pili. Think about these kabla hujajibu.

Naam unamkatalia kwa kumuelewesha kwamba kuwepo kwako badala ya kuwa msaada kunaweza kukaleta matatizo katika ndoa yenu maana hujui reaction yako itakuwa vipi baada ya kuona moja ya maajabu makubwa ya Mungu.

Kuna wabongo wana watoto watano siku zote dada wa mke ndiye aliyeingia kwenye shughuli hii sasa siku hiyo dada hakuweza kuhudhuria basi Njemba ikawa tayari kwenda kumpa nguvu mkewe. Mke alimuomba aondoke haraka sana kwa kuwa hakupenda mumewe amuone katika hali ile ya kujifungua na pia anamjua mume wake alivyokuwa muoga wa mambo haya. Kama mke anayeelewa ukimuelewesha kwamba ni bora tu usubiri nje nadhani atakuelewa badala ya hili la kukataa kuingia kuleta kasheshe katika ndoa yenu.
 
Naam unamkatalia kwa kumuelewesha kwamba kuwepo kwako badala ya kuwa msaada kunaweza kukaleta matatizo katika ndoa yenu maana hujui reaction yako itakuwa vipi baada ya kuona moja ya maajabu makubwa ya Mungu.

Kuna wabongo wana watoto watano siku zote dada wa mke ndiye aliyeingia kwenye shughuli hii sasa siku hiyo dada hakuweza kuhudhuria basi Njemba ikawa tayari kwenda kumpa nguvu mkewe. Mke alimuomba aondoke haraka sana kwa kuwa hakupenda mumewe amuone katika hali ile ya kujifungua na pia anamjua mume wake alivyokuwa muoga wa mambo haya. Kama mke anayeelewa ukimuelewesha kwamba ni bora tu usubiri nje nadhani atakuelewa badala ya hili la kukataa kuingia kuleta kasheshe katika ndoa yenu.

Umesomeka Mkuu. Asante
 
niliwahi kuingia mke wangu alipojifungua na nilishuhudia kila kitu bila woga, zaidi ni kwamba niliongezeka nguvu kwa kujua kwamba mke wangu alihitaji msaada wangu wakati huo, kwangu mimi binafsi hata kama mke wangu angelijifungua mimba 20 basi ningeliingia zote kwani ni sehemu moja muhimu ambayo unaweza kumuonesha yule unayempenda ni kiasi gani unamjali. niliingia kwa malengo yafuatayo.

a)kumliwaza ili ajiskie hayuko mpweke katika kipindi hicho kigumu

b)kumuonesha kwamba najali

c)kuwa pamoja kihisia ,

d)kupata uzoefu wa kinachoendelea wakati mama zetu wanapotuleta duniani.

e)kuwa wa kwanza kumuona na kumbeba mwanangu (baada ya wakunga)

f)kuhakikisha wakunga hawamzarau mke wangu na kumtolea maneno mabovu katika kipindi hiki kizito katika maisha ya mwanamke.

zipo sababu nyingi kwa upande wangu binafsi lakini kwa leo naona niishie hapo
.
 
Rafiki yangu mmoja aliingia derivery room,baada ya kuona mtoto anaanza kutoka jamaa alizimia manesi wakaanza kumshughulikia tena, hakuweza kumuona mtoto mpaka kesho yake. Jamaa kaapa hatokanyaga tena delivery room.

ahahahahhahahaha...salaaalaaaaaaaaaa. yaani hii ndio mwisho anazimia mpaka manesi wanamsahau mzazi wamhudumie yeye kwanza...balaaa. eti halafu mapka kesho yake ndio kaamka???????
 
i suggest that men should be allowed(if possible forced) to enter the delivery room,certainly they may learn to respect our mothers.

certainly they need to understand THE POWER OF A WOMAN

U ar ryt Geoff, we shud be allowed to get in, hope this will make us feel more sorry for our wives/mothers and for this, the respect will be kubwa)
I will get in whether they want or not!!!
 
A debate has been raging this past week in the UK, about the role of men in the delivery room during childbirth. Some obstetricians suggest that men should be kept well away from delivery rooms as they add little value to the process of childbirth.

I know some Hospital in Dar do allow men in the Delivery room; and the habit is catching up very fast especially in Private Hospitals.

I would like to get your comments on this issue. Ladies/Women are highly encouraged to share their view on this matter

Suala la mwanaume kuwepo wakati mkewe anajifungua nadhani ni muhimu sana. Kama ameshiriki katika kutungwa kwa mimba sioni ni kwa nini asishirikishwe kwenye kuzaliwa kwa mtoto! Hivi Eva alisaidiwa na nani wakati anamzaa Cain na baadae Abel (kwa waamini tu;))?

Binafsi nimeshuhudia mke wangu akijifungua mtoto wetu wa pili (wa kwanza sikuweza kwa sababu ilikuwa hosp ya govt!). Pamoja na kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa miezi kadhaa ya mwanzo (kama mitatu!) lakini nilibadilika sana kimtizamo si tu kwa mke wangu bali hata kwa mtoto pamoja na mama yangu pia! Kama ningetakiwa kusema thamani ya mwanamke (mama) kabla na baada ya kushuhudia basi majibu yangetofautiana sana! Naamini hili la kubadilika mtizamo ndilo la muhimu zaidi na wanaume wengi wanalikosa.

Pamoja na kuwapo kwa hospitali nyingi, bado dadhani ni si vibaya wanaume wakajifunza ABCs za kuzalisha (just in case!). Wakati nimeoa nilihakikisha napata elimu hiyo ingawa sijawahi kuitumia hadi leo lakini sijilaumu!
 
Nilisikia bwana mmoja aliyejaribu mambo haya alipata erectile dsyfunction after that ikabidi aende counselling,hata counselling hakufanikiwa until one year later.Take Care usiume zaidi yayale unaweza kumeza.Only a very strong man anaweza kustahimili labour ya mpendwa wake.Tena nimesikia story ya kijana aliye mzalisha mamake mzazi kwa kuwa walikuwa mashambani na hakukuwa na mtu yeyote karibu.Imagine that!
 
Nilisikia bwana mmoja aliyejaribu mambo haya alipata erectile dsyfunction after that ikabidi aende counselling,hata counselling hakufanikiwa until one year later.Take Care usiume zaidi yayale unaweza kumeza.Only a very strong man anaweza kustahimili labour ya mpendwa wake.Tena nimesikia story ya kijana aliye mzalisha mamake mzazi kwa kuwa walikuwa mashambani na hakukuwa na mtu yeyote karibu.Imagine that!

Nimecheka sana kwa hii comment yako.
Nashindwa kuona uhusiano wa Erectile dysfunction na kuona uzazi. Nadhani huyu jamaa alikua ana matatizo yake tu binafsi tangu hapo aache visingizio.

Hiyo ya kumzalisha mama yake imekaa vibaya, I do not want to comprehend this.
 
i suggest that men should be allowed(if possible forced) to enter the delivery room,certainly they may learn to respect our mothers.

certainly they need to understand THE POWER OF A WOMAN

na kwa sababu wengi wao wanatufanya tu kama vyombo vya kujistarehesha au mashine za kufyetua watoto, may be wakiingia mle, watatuvalue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom