Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
Bora umejibu mwenyewe NN
Nilitaka kumwambia Mpangwa1 atofautishe mambo 2
1. Ndoa
2. Mtoto/watoto
Haya mambo hayana uhusiano wowote, pia ndoa haina definition, labda kutumia definition ya imani za kidini ambazo anazo hazina mshiko kwa sasa.
Mimi niliingia labour ward nikiwa na umri mdogo sana (chini ya miaka 15) kimakosa nasisitiza kimakosa. Niliyoyashuhudia wakati huo, nadhani kila mtu (hasa mwanaume) aingie kwa hiari yake. Nilijifunza kuwa mazingira ya labour wards ndio yanafanya baadhi ya wakunga kuwa fyatu fyatu
Mpangwa1, unaona mimi sikuwa na ndoa na wala sikuwa nakwenda kuzaa na niliingia, any connection kwenye hoja yako?
Hata mie mwenyewe niliwahi kuingia delivery room, sikwenda kuzaa ila shost wangu alienda kujifungua.
Niliyoyakuta huko sikuweza kuamini japo mwanamke, toka siku hiyo nina uoga wa kuzaa asikwambie mtu. Kwa upande wa mwanaume kwa hiyari yake anaweza kwenda au lah!!I think is better u guys to go there labda inaweza kuwafanya kuwaheshimu wake zenu.