Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.
Ni ZZK ndio anachunguzwa peke yake ndani ya Chadema? Dr Slaa anasema mbunge atakaepatikana kahongwa atachukuliwa hatua na kamati kuu ya Chadema, kwenye mambo ya rushwa na ufisadi yanayotea ndani ya serikali Dr Slaa uwa anataka iundwe tume huru kuchunguza lakini kuchukunguza ufisadi ndani ya Chadema Dr Slaa anataka wajichunguze wenyewe kwa nini Dr Slaa na wenzake wasiunde tume huru kuliko kuachia wabunge wa Chadema wajichunguze wenyewe.
cdm haina utaratibu wa kuunda unda tume kama ccm
 
inawezekana jamaa hili swala lake la urais aliichomekea ili ikija hii kashfa isiwe na mashiko

Kama ni hivyo unadhani kuna mtu alimtonya ama ni kusoma alama za nyakati?Ni coincidence ya ajabu,given how we have got to know wanasiasa, I won't be suprised if there are some calculated moves from aywhere as in from anyone...
 
ki ukweli Zito anamatatizo yake lakini hili la ccm la ubadhirifu bado halitoshi kumhukumu nalo. Bado ninaamini kama CHADEMA tunapaswa kumsikiliza kwa upande wake kwa sababu inawezekana hii ikawa ni njia chafu za kumchafua na hata kutuchafulia chama chetu naomba kabda ya kuanza kumhukumu mtu uchunguzi ufanyike mapema sana na kuwe na ushahidi wa kutosha jamani. Isije baadae ikawa aibu.
Nilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,

Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?

Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.
 
ki ukweli Zito anamatatizo yake lakini hili la ccm la ubadhirifu bado halitoshi kumhukumu nalo. Bado ninaamini kama CHADEMA tunapaswa kumsikiliza kwa upande wake kwa sababu inawezekana hii ikawa ni njia chafu za kumchafua na hata kutuchafulia chama chetu naomba kabda ya kuanza kumhukumu mtu uchunguzi ufanyike mapema sana na kuwe na ushahidi wa kutosha jamani. Isije baadae ikawa aibu.
Unadhani chadema inatakiwa kumsikiliza upande wake peke yake na kudisregard upande mwingine wowote ule?Ama pia unapendekeza washirikishe hatua zitakazotolewa bungeni?

Maana mkuu tumetoka mbali sana na hii issue, na niliwahi kumshauri Zitto akatae kuingia kwenye ile kamati mwanzoni kabisa wakati ambapo tukiwa na imani kwamba issue ya ufisadi kwake pia ni a black and white kama tulivyochukulia wengi wetu, yani you're either with them or not, period.

Hilo ndilo lilikuwa likiwa distinguish chadema na vyama vyote vya upinzani.Na sasa this is the outcome.Wengi wetu tuko slow kuona kwasababu ya upofu uliochangiwa na ile imani tuliyoiweka kwa mwanasiasa huyo.

Kusema kweli some of his instincts are very questionable...Na yote hayo yamesababishwa na msimamo wake kwamba mafisadi pia wana nafasi zao ama wanafaa kwa kiasi flani kwenye maamuzi ya wapi taifa lielkee,issue kama hizo zimepelekea wengi wetu kuchelewa kuchukuwa kadi.Kwasababu it doesn't make any sense...
 
Kama ni hivyo unadhani kuna mtu alimtonya ama ni kusoma alama za nyakati?Ni coincidence ya ajabu,given how we have got to know wanasiasa, I won't be suprised if there are some calculated moves from aywhere as in from anyone...
atakuwa kasoma alama za nyakati,mfano we angalia tamko la kutaka urais ilitangulia halafu hizi kashfa ndo zinakuja,kwanini kashfa za rushwa hazijatangulia halafu ndo tamko la kutaka urais lifuatie?na ninakwambia kwa upande wa chama huu ndo mwanya pekee kutumia,ukishindikana hakuna njia nyingine ya kumtoa nje ya chama
 
CDM wafanye kilichofanywa na ANC kwa malema ni ku-fire tu mbona madiwani waliwafanyia hivyo kwani zitto ni zaidi ya chama????

Hata yeye Zitto atatakiwa kupima kama atastahili kuendelea kuwa katbu wa chama, naibu kiongozi wa upinzani, mjumbe kamati kuu na mbunge wa kigoma kaskazini! Baada kuthibitika kwa tuhuma kwa mazingira au vyovyote vile!
 
Hata yeye Zitto atatakiwa kupima kama atastahili kuendelea kuwa katbu wa chama, naibu kiongozi wa upinzani, mjumbe kamati kuu na mbunge wa kigoma kaskazini! Baada kuthibitika kwa tuhuma kwa mazingira au vyovyote vile!
Kwahiyo unapendekeza ajivue hizo nyadhifa kupisha uchunguzi unaoendelelea?
 
Ikithibitika pasipo shaka Zito kaomba au kala mulungula basi hana budi kwenda nccr mageuzi kugombea urais

Fidel80, NCCR-Mageuzi si chaka la wala rushwa, kama kweli kala, zigo lenu ama amueni mkae nalo au mpelekeni TAKUKURU
 
Hapo red sijakuelewa, huenda ulimaanisha spared.
I still have trust in Zitto.
Nasita sana kuamini kuwa this too smart boy could be tempted with money-thing!
Aidha naijutia siku ambayo kamati itagundua na kuweka wazi kuwa Zitto amepokea rushwa in the name of money or whatever token!
Heri ziku hiyo isingalizaliwa chini ya jua!

Zitto siyo mwenzio! Ameshakuacha mbali mkuu!
 
Fidel80, NCCR-Mageuzi si chaka la wala rushwa, kama kweli kala, zigo lenu ama amueni mkae nalo au mpelekeni TAKUKURU

Dada Waridi habari za siku nyingi?unadhani NCCR-Mageuzi mna jeuri ya kumkataa mh Zitto?
 
Fire him right away! dont protect thieves and corrupt people in the party!!fire all corrupt people in the party!!
 
Dada Waridi habari za siku nyingi?unadhani NCCR-Mageuzi mna jeuri ya kumkataa mh Zitto?
Zitto akiwa msafi no problem, lakini Zitto mla rushwa (kama ikithibitika) katiba ya yetu inasema wazi, mla rushwa NO!
Halafu ujue huyu Mhe. huku kwetu tayari ana tuhuma za kutuvurugia chama.
 
Duu taarifa hizi zinashtua kama taarifa za misiba ya ndugu na jamaa zetu tunaowapenda. Ikithibitika kuwa waheshimiwa waliotajwa kweli wamehusika, hapo tutaamini kuwa uadilifu sio wa kuzaliwa nao bali huletwa na usimamizi madhubuti wa sheria na mifumo iliyo bora.
 
Zitto akiwa msafi no problem, lakini Zitto mla rushwa (kama ikithibitika) katiba ya yetu inasema wazi, mla rushwa NO!
Halafu ujue huyu Mhe. huku kwetu tayari ana tuhuma za kutuvurugia chama.

Wewe unadhani uthibitisho mzuri utakuwa wa aina gani?
 
Nadhani Zitto amefanya uamuzi wa busara kutaka chama chake kifanye uchunguzi kuhusu hili suala. Ccm wanaweza kumhusisha na mambo yao ya rushwa ili kuivuruga chadema. Ccm siyo trustworthy hata kidogo. Chadema wafanye uchunguzi wao wa kichama, na matokeo watakayoyapata ndo yawaongoze kuchukua hatua kwa mujibu wa katiba, kanuni na taratibu zao.
True, it will be sad if he gets implicated.
 
tulizeni mzuka...

nimesoma pahala kuwa Zitto atafanya press conference kesho...ataweka mambo hadharani...let's wait and see!!!
 
ikithibitika amepokea Rushwa afukuzwe hata bila huruma, amekichafua chama na amekuwa na tabia ya kuleta migogoro isiyoyalazima kwenye chama zitto amelewa sifa
 
Afukuzwe hata kama hajachukua rushwa afukuzwe kwa kupayukapayuka hovyo kwamba anataka kugombea urais wakati watu hawapo huko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom