newMbishi
Senior Member
- Jan 8, 2011
- 119
- 13
issue co usomi pekee ndugu, pia angalia uwezo wa kuchanganua mambo alionao.fukuza tu watanzania wasomi wengi tu
issue co usomi pekee ndugu, pia angalia uwezo wa kuchanganua mambo alionao.fukuza tu watanzania wasomi wengi tu
Na hakika inatakiwa iwe hivyo ili kuweka maadili na miiko na pia kuonyesha njia mbadala tofauti na ile tuliyozoea miaka 50 sasa.Mkuu wangu PakaJimmy unaangalia zaidi maslahi ya chama ikiwa Zitto kavuta kitu kidogo kwanini asitimuliwe ?.CDM bado haijashika dola wanakuwa waoga hii ni dalili mbaya mbona Kafulila alitimuliwa Zitto inakuwa taabu.
Nilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,
Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?
Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.
acha tu ,sijui m4c team itawaambia nini watanzania....sijui nape atafoa sadaka kubwa kiasi gani ...sipati picha
inawezekana jamaa hili swala lake la urais aliichomekea ili ikija hii kashfa isiwe na mashikoNaoana kama kweli,akipita kwenye hili basi hata huo urais nadhani itakuwa si mbaya akiufikiria.Tatizo naloliona hapa pia,ni kama alikuwa anahisi hii kashfa inakuja?
Itakuwa ni kuingilia uhuru wa kikao kitakachofanyikaNilipenda hii iwe poll, mods please if you can help on that I will appreciate. Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa, inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,
Yaani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?
Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired, usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared, just do the same.
Itakuwa ni kuingilia uhuru wa kikao kitakachofanyika