arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Mambo wana JF,
waugwana na jambo linanisugua roho mpaka nakosa usingizi,
kuna mdada amechukua mume wamtu juu yakua anajua kama anamke na watoto na yeye ni mkristo huyo mdada,
kwakua ndoa hakutualika alijua kua tutajua ukweli sababu mume alomuoa tunamfahamu na mke wa huyo bwana ni rafiki yetu sote,
Alivyokua mjinga akamtumia sms mwenye mumewake kua 'Mumeo kaowa na shogako kipenzi anajua anakucheka na jina kanitaja,
Mwenye mume kanipigia cm kuniuliza kama kweli mumewe kaoa na alomuowa ni mmoja ktk mashoga zangu, bahati nzuri sijamjibu mumewake
akawa amefika akanambia tutaongea baadae.
Haijachukua mda yule mwizi wa mume wawatu mamake akanipigia cm akanambia mwanangu mke mwenzie hajakupigia cm?
nikashanga ndio nikajua kama walimtumia sms manake anataka ajulikane kama na yeye mke wapili,
tatizo langu waingwa ukweli nikwamba huyu bint kaolewa na huyo babu mwenye miaka 51 na watoto 6,
huyu mwenye mumewe akinipigia nimueleze ukweli au nijikaushe kama siyajui lakini iko siku atajua kama nilikua najua manake mumewe
anajua kama najua na anajua kama sikupenda ndio mana huyo msichana hakunialika kwenye harusi wanajua kama mm na mke wa
huyo bwana tunafahamiana sana na ni wangazija wote ukweli roho inaniuma sana sijui nifanye nn......
waugwana na jambo linanisugua roho mpaka nakosa usingizi,
kuna mdada amechukua mume wamtu juu yakua anajua kama anamke na watoto na yeye ni mkristo huyo mdada,
kwakua ndoa hakutualika alijua kua tutajua ukweli sababu mume alomuoa tunamfahamu na mke wa huyo bwana ni rafiki yetu sote,
Alivyokua mjinga akamtumia sms mwenye mumewake kua 'Mumeo kaowa na shogako kipenzi anajua anakucheka na jina kanitaja,
Mwenye mume kanipigia cm kuniuliza kama kweli mumewe kaoa na alomuowa ni mmoja ktk mashoga zangu, bahati nzuri sijamjibu mumewake
akawa amefika akanambia tutaongea baadae.
Haijachukua mda yule mwizi wa mume wawatu mamake akanipigia cm akanambia mwanangu mke mwenzie hajakupigia cm?
nikashanga ndio nikajua kama walimtumia sms manake anataka ajulikane kama na yeye mke wapili,
tatizo langu waingwa ukweli nikwamba huyu bint kaolewa na huyo babu mwenye miaka 51 na watoto 6,
huyu mwenye mumewe akinipigia nimueleze ukweli au nijikaushe kama siyajui lakini iko siku atajua kama nilikua najua manake mumewe
anajua kama najua na anajua kama sikupenda ndio mana huyo msichana hakunialika kwenye harusi wanajua kama mm na mke wa
huyo bwana tunafahamiana sana na ni wangazija wote ukweli roho inaniuma sana sijui nifanye nn......