Shocking News; Kweli ndio tumefika huku?

Kwa takwimu hizo ni hatari sana ni bora kujiadhari sana!

Ni vyema tukajadili takwimu n mustakabali wa afya zetu!

Hakuna kosa lolote hapo la kimaadili.
Kusema watu6 kati ya 20 wameathirika? Hii ina fanyika kila leo tena hizi takwimu wakati mwingine zina taja hata jina la kituo!

Yeah, mwishowe ukifuatilia sana hii argument yako utasema hata akija mtaani kwako na kusema "watu 4 kati ya 6 wanaokaa nyumba hii wameathirika" itakuwa sawa tu. Maana hajataja majina.

Logic ni ile ile tu.

Watu wanaofikiri lack of privacy na compromising medical ethics ndio jibu la kushinda UKIMWI hawajajua athari za lack of privacy katika zoezi zima la upimaji virusi, na implications zake katika vita dhidi ya UKIMWI.
 
Yeah, mwishowe ukifuatilia sana hii argument yako utasema hata akija mtaani kwako na kusema "watu 4 kati ya 6 wanaokaa nyumba hii wameathirika" itakuwa sawa tu. Maana hajataja majina.

Logic ni ile ile tu.

Watu wanaofikiri lack of privacy na compromising medical ethics ndio jibu la kushinda UKIMWI hawajajua athari za lack of privacy katika zoezi zima la upimaji virusi, na implications zake katika vita dhidi ya UKIMWI.

Naona hoja zimeisha ... hii thread ssio official na mimi sijafanya research yoyote hapo. Umeona unajikanyaga sasa umehamia kwenye validity ya thread badala ya ethic.
 
Mkuu Black Bat, think you mean Lab Technician,

Duh?! Sidhani kama ni sahihi sana yeye(ndugu yako/Lab Technician) kukueleza matatizo ya clients wake, inapunguza usiri(confidentiality),

Pili inawezekana isiwe sahihi sana(False positive results) hutokea, na hovyo kuhitajika kupima tena.

Mkuu mbona wasema, "JIULIZENI mko wangapi?" Hii kitu yetu sote!!

ILA ukweli utabaki pale pale mkuu, tujihadhari(ambao hatujapata) ili tusiambukizwe, na wenye VVU kuzingatia ushauri na tiba.
Acha uchochezi
 
Tofauti ya takwimu rasmi na huyu Lab Technician ni zifuatazo.

Takwimu rasmi zinapata baraka za wahusika ikiwa ni pamoja na waathirika kutumika kwa umma. Huyu Lab Tech hakupata baraka ya kutumia habari za kazini kwenye stories za dinner table.

Takwimu rasmi zinatolewa kwa umma. Huyu Lab Technician katoa habari kwa ndugu yake tu.

Takwimu rasmi zinapitiwa maradufu kuhakikisha ubora umefikiwa, mambo ya margin of error na sample space yameangaliwa, false positives zimekuwa verified etc. Huyu Lab Tech anaweza kupima watu sita akaona wanne wako positives na ku conclude rate ni 66% kwa population, kumbe kaanza na high risk sample space halafu ana false positives mbili, the actual percentage is closer to 6.6 than 66!

Imaginations ... Nani kakataa hizo sample zako? Hata imi mbona nilisema hivi mwanzoni? Soma post za nyuma utaona sehemu niliyopost .
 
Kama umeangalia vizuri mtoa mada haja taja kituo hila kaleta takwimu! Swala la umuhimu wa usiri katika mapambano haya nalifahamu sana tena sana. Lakini wewe unafikiri tofauti! Sababu mtoa mada haja taja kituo bado amewasitiri! Lab tech ajamwambia mtoa mada peke yake bali baada ya kupima hizo takwimu kuna mahali ana zipeleka na kuna mtu ana mpatia kuziandaa je bado ni kusitiri?

Pengine tusibishane na kupoteza nguvu kwenye hili tujadili datta hizo na mstakabali wa afya zetu pia!
Tusitumie muda mwingi kuhukumu mtu!

Pia na mshukuru mleta uzi ili watu wajue kilichopo duniani.
Yeah, mwishowe ukifuatilia sana hii argument yako utasema hata akija mtaani kwako na kusema "watu 4 kati ya 6 wanaokaa nyumba hii wameathirika" itakuwa sawa tu. Maana hajataja majina.

Logic ni ile ile tu.

Watu wanaofikiri lack of privacy na compromising medical ethics ndio jibu la kushinda UKIMWI hawajajua athari za lack of privacy katika zoezi zima la upimaji virusi, na implications zake katika vita dhidi ya UKIMWI.
 
Juu hapo nimeonyesha kwamba kuvunja confidentiality si lazima kutaja jina.

Akishasema tu kwamba watu waliokuja kwenye kliniki yetu leo kati ya 6 wanne wana HIV, tayari kashatoa probability ya yeyote anayejulikana kuwa alienda siku hiyo kuwa na HIV. Hilo moja.

Pili, kwa wanaojua maadili ya kazi, kuzungumzia tu habari za ndani ya ofisi yako zinazohusu wagonjwa, hata kama ni kwa statistics tu, ni kuvunja maadili. Ndio maana wenzetu walioendelea kabla hawajatumia data zako katika statistics hata za kitaifa, kunakuwa na full disclosure kwamba data zako zitatumika katika national statistics, una opt in. Kama hutaki unaanza. Sasa I am sure Lab Technician hakupata ruhusa ya ofisi wala wagonjwa kutoa statistics za kituo cha kazi na zao wagonjwa.
Breach of rules of confidentiality is not weighed on the balance of probabilities gentlemen, it needs a proof holding truth watertight, beyond reasonable doubt. So the question whether you were there at that particular material day, on the due time, does not suffice a breach! Unless otherwise you have been directly mentioned.

Ni sawa na mahakama kusema kuwa, kila mwaka tunapokea mashauri 300 may be ya wanawake walioolewa kubakwa na waume zao.
 
Kuna jamaa anafanya kazi kama lab technician. Kaniambia kuwa watu wanaokuja kupima damu % kubwa wana ngoma. Nikamwambia toa mfano.

Akaniambia leo kapima wadada wajawazito sita. Na wanne kati yao wana virus vya UKIMWI na umri wao ni kuanzia miaka 18-23.. So guys watch out. Na hao wadada wote wameolewa.

So jiulizeni mko wangapi? It really shocked me. Jamani tuache haya mambo tutaisha hasa kwenye ndoa huko mmmh!!! Haya

Umeuliza kuhusu vifaa na vitendanishi.....vyote feki kaulize TBS na TFDA.
 
Kuvunja miiko ya usiri si lazima mtu ataje jina.

Ni sawa kabisa kusema...
Hizi ni statistics..
na kwa mujibu wa Professional Ethics- Pale ambapo data unatoa taarifa kwa manufaa ya public... inaruhusiwa..
we call it Duty to Public..
 

Ni sawa na mahakama kusema kuwa, kila mwaka tunapokea mashauri 300 may be ya wanawake walioolewa kubakwa na waume zao.

Elewa tofauti kati ya hiyo, na ya mahakama kusema "leo tumepokea kesi sita zinazohusiana na familia, na nne kati ya hizo watoto wamebakwa na baba zao"

Hapa mahakama itakuwa imevunja miiko inayotaka watoto lazima wasitiriwe, kwa sababu kila anaejua familia fulani imeenda mahakamani leo kuhusiana na shauri hilo, atakuwa ameingia shaka kuwa baba fulani ni mbakaji wa mwanawe na mtoto fulani amebakwa

Hakuna faragha tena.
 
Kwenye UKIMWI naona mambo yawekwe hadharani ili watu wawe aware zaidi. Tusidanganyanye eti kaugua mara muda mrefu, eti mara vile. Kweli kama hata alikufa kwa malaria kama ugonjwa uliosababisha ni AIDS basi ni vema tuseme kuwa huyu mpendwa wetu alikuwa anaugua maradhi yatokanayo na UKIMWI ili watu wajihadhari hata na ule mtandao uliobaki nyuma. Kwa mantiki hii itasaidia sana kupunguza maambukizi mapya. Hili gonjwa ni hatari na limeshika patamu ambapo panatamanisha hata kama umeoa au kuolewa!!! Shurti utafute ka pembeni na mtandao unaongezeka!!! Katika watu 100 kumi ni victims!!
 
Maambukizi huwa hayako evenly distributed kwa nchi nzima
Kuna maeneo yana maambukizi makubwa, mengine kidogo

Niliwahi fanya kazi na mradi wa vijana wa UKIMWI, kuna sehemu zilikuwa zinatisha kabisa, hata wiki inapita bila kuhudumia mwenzi sababu ya hofu, na sehemu zingine maambukizi yalikuwa chini sana.

Sikuwa lab technician, lakini niliweza jua kati ya respondent wetu wapi wamekutwa na VVU, imagine walikuwa vijana kati ya miaka 14 - 26, na frequency kubwa ya umri ilikuwa kwenye group la 15-20.
Hakuna confidentiality kihivyo.
 
Never. I advise you to take care of yourself

sawa bana. najua siyo Mbeya, iringa, Dar, Mwanza, Bukoba wala Musoma. Itakuwa ni kile kisiwa kidogo cha Kipembawe.
Ila statistics hizo zatisha sana. we are not late hopefully. kweli tujiulize, tupo wangapi wenye kuvaa dume vidoleni?
 
Maambukizi huwa hayako evenly distributed kwa nchi nzima
Kuna maeneo yana maambukizi makubwa, mengine kidogo

Niliwahi fanya kazi na mradi wa vijana wa UKIMWI, kuna sehemu zilikuwa zinatisha kabisa, hata wiki inapita bila kuhudumia mwenzi sababu ya hofu, na sehemu zingine maambukizi yalikuwa chini sana.

Sikuwa lab technician, lakini niliweza jua kati ya respondent wetu wapi wamekutwa na VVU, imagine walikuwa vijana kati ya miaka 14 - 26, na frequency kubwa ya umri ilikuwa kwenye group la 15-20.
Hakuna confidentiality kihivyo.

Kongosho ngoja kina kiranga waje hapa lazima wakulipue
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom