nipo hapa viwanja vya shycom kwenye mkutano wa mh pinda kiukweli hakuna watu kabisa zaidi ya wanafunzi wa uhuru sekondari waliolazimishwa kuja leo ni ajabu ingawa kuna burudan na naona lori moja limeingia na watu nyomi nb simu yangu haiwezi kupiga pics mdau mwenye uwezo asongee