Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,346
- 33,183
- Thread starter
- #41
Mkuu una miaka mingapi wewe ? Angalia chini hapo Umri wako na Kiwango gani cha Presha unachotakiwa uwe nacho .Naomba ushauri Hali imenitokea ghafra juzi coz ndo mara yangu ya 1 nikapimwa presha 154/93 nikapewa dawa jana nimeenda wanasema bado 150/91 je niendelee kutumia dawa na nipumzike mda wote na niendelee kupumzika?