Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Tunamtaka Rais wa umri wa Obama, aliyezaliwa na MKULIMA wa jembe la mkono. Atoke mikoa ya Lindi, Rukwa, Morogoro, Tanga,... na mingine inayofanana na hiyo.
WC
Unaweza kutupa sababu kwanini umechagua mikoa hiyo na si mingine kama Kilimanjaro Mwanza Shinyanga Kagera Mbeya etc.