Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Muhindi kaslim, kaambiwa ukila sema Bismillahi.
Akauliza "kwanini?"
Akajibiwa "Usiposema huwa unakula na shetani."
Wiki nzima hakusema, Shetani akamjia, akamwambia kwa ihsani yako bwana mkubwa nakuomba sema unapokula sema BismiLlahi. Nimechoka, nimefanya bawasili kwa kula mipilipili yako, angalau nipumzike tena.
Akauliza "kwanini?"
Akajibiwa "Usiposema huwa unakula na shetani."
Wiki nzima hakusema, Shetani akamjia, akamwambia kwa ihsani yako bwana mkubwa nakuomba sema unapokula sema BismiLlahi. Nimechoka, nimefanya bawasili kwa kula mipilipili yako, angalau nipumzike tena.