LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Nimejaribu kupitia majina ya wateule tume ya mipango nashindwa kuelewa majukumu na malengo ya tume yatatekelezwa vipi.
Tunahitaji wabobezi kuongoza hiyo tume ili tuanze kupata matokeo mapema.
Ikiwezekana wateule wapatikane kwa njia za usaili za kawaida na sio uteuzi
Tunahitaji wabobezi kuongoza hiyo tume ili tuanze kupata matokeo mapema.
Ikiwezekana wateule wapatikane kwa njia za usaili za kawaida na sio uteuzi