Sheria ya Ndoa!!

Kimey

JF-Expert Member
Mar 25, 2009
4,117
831
Salaam!
Kuna kipengele katika sheria ya ndoa kinachosema kua pindi ndoa inapovunjika Mtoto atakaa kwa mama yake mpaka afikishe miaka saba then baba anaweza kumchukua!! Sasa kuna rafiki yangu mmoja ana experience hii kitu so kwa maoni yake anasema hii sheria inabidi ibadilishwe kwani unakuta mtu unaingia gharama kubwa kumtunza mtoto akiwa kwa mama yake na pili kuna wazazi wengine ndo wanafanya mtoto ka fimbo ya kukukomoa!! Sasa kwa maoni yake anaona kipengele hiki kibadilishe kiweze kusomeke kua "ikiwa kama baba ana uwezo basi aruhusiwe kumchukua mtoto pindi tu amalizapo kunyonya na sio baada ya miaka saba!! Wandugu hapo mnasemaje? naomba maoni!
 
Back
Top Bottom