Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
wadau kuna siku nilikuwa kwenye gari ndogo barabara ya Shekilango, kuna dala dala lilikuwa mbele yetu (Ubungo - msasani) Ghafla lilisimama katikati ya barabara na brake light hazifanyi kazi, ujanja hatukuwa nao tukaligonga kwa nyuma na sisi ndio tulioonekana na kosa. Hii ilinifanya kila mara niseme Ditopile alikuwa sahihi kumpiga risasi dereva wa daladala.
Wadau madereva wa daladala wanakera sana na ukiwa na hasira ..........
Wadau madereva wa daladala wanakera sana na ukiwa na hasira ..........