sina ubishi na sherehe za miaka 50 ila mpangilio wake nionavyo mm siku ya 9 desemba ingetosha. BASI kama tukiona turasimishe zaidi wiki moja ya maonyesho kabla ya siku yenyewe ingetosha sana. lakini baba miezi sita kabla ni sherehe kila siku. kibaya zaidi agenda kuu ni TUMEFANYA HIKI TUMEFANYA KILE hivi kilichofanyika si huwa kinaonekana ??? kuna sababu ya kutumia gharama kukitangaza ???????????