Uislamu na ukristo dini zote zinapromote blind faith, zinaamini katika a nonexistent godhead and in my opinion they are equally fraudulent. And I can argue my case reasonably well.
Kwa hiyo kwangu mimi awe muislam au mkristo mie naona ni utumwa ule ule tu.
Uislamu na ukristo dini zote zinapromote blind faith, zinaamini katika a nonexistent godhead and in my opinion they are equally fraudulent. And I can argue my case reasonably well.
Kwa hiyo kwangu mimi awe muislam au mkristo mie naona ni utumwa ule ule tu.
Unataka wafanye kazi vizuri kwani unawalipa sh ngapi?
Haina haja ya mimi ya kuwalipa hao mamods; ni wajibu wao kama kama wahusika kujua kinachoendelea ndani ya huu mtandao wao.
1. Wamekukaribisha kwenye mtandao wao uanachama free of charge
2. huwalipi maintenance cost, na
3. bado unawapangia kazi! lol ..
Wapenda umwinyi weye!
Mbona hilo lipo muda mrefu, mimi nilishalishtukia kitambo ndio maana sichangii siki hizi .hii ni Crusade Forums wakulaumiwa ni mod
Sheikh Shariff (Michael Sewando) alisema baada ya kuokoka, amekuwa akipata mashambulizi kutoka kwa majini na wachawi hivyo anaomba msaada wa maombi kutoka kwa wacha Mungu wote.
Simnasema nyie watu wa madini kwamba ukimkubali yesu sijui muhamad hupatwi na uchawi wala majini.
Sasa iweje hii?
Miafrika itabakia kudanganywa milele
Ukoloni uliminyea ukamiachia na mavi mwilini ambayo mpaka leo mnashindwa kuyaondoa.
Sheikh Shariff (Michael Sewando) alisema baada ya kuokoka, amekuwa akipata mashambulizi kutoka kwa majini na wachawi hivyo anaomba msaada wa maombi kutoka kwa wacha Mungu wote.
Nikufurahishe kidogo!!
Simnasema nyie watu wa deen kwamba ukimkubali yesu sijui muhamad hupatwi na uchawi wala majini.
Sasa iweje hii?
Miafrika itabakia kudanganywa milele
Ukoloni uliminyea ukamiachia na mavi mwilini ambayo mpaka leo mnashindwa kuyaondoa.
Waislam wao wanafuga majini. Quote:
Sheikh Shariff (Michael Sewando) alisema baada ya kuokoka, amekuwa akipata mashambulizi kutoka kwa majini na wachawi hivyo anaomba msaada wa maombi kutoka kwa wacha Mungu wote.
Kupata mashambulizi si kosa, any body can be attached by anybody and/or anything. Wewe nenda Louisiana utapata cha mtema kuni kama huna Yesu. Ni sawa na wewe unapodai kuwa hakuna Mungu, it doesn't change anything and/or stop God kuwa Mungu.
What you have ni wishfull thoughts.
Pole sana
theology imekupitia kando, na wala huijui kabisa ila ubishi tu
ukubwa kwa wale wanaoamini- waefeso 1:19-22.
hio aya ya ukubwa kwa mtu anayeamini kwanini isimkinge huyo anayemuamini yesu?
Na hii tena,
huwapatia watu haki, chakula, hufungua wafungwa, hufungua
macho ya vipofu, huwainua wanyenyekevu, hulinda, husaidia,
huzuia ubaya- zaburi 146:5-10.
hii alikuwa wapi yaliyofanyika rwanda? hulinda, husaidia, huzuia ubaya.
kwanini huyo mnayemuamini asimlinde sharifu na majini ya waislam!?
haki na kabonde tunaomba namba za simu za sheikh sharrif tuwasiliane naye mwenyewe! Kila mmoja (haki & kabonde) atoe simu ya sheikh sharrif anayemfahamu. Alternatevely, haki nenda kwenye mhadhara msikiti wa kwamtoro upige picha ya huyo unayedai sheikh sharrif, kabonde nenda kwenye kanisa husika upige picha ya unayedai sheikh sharrif akiwaombea watu. Kisha leteni hizo picha na kuzibandika humu kama itawezekana ili kuondoa utata wa identity ya sheikh sharrif! Nimeshindwa kuchangia mada hii vizuri kwa kuwa kuna wanaodai huyo sheikh kaokoka na wengine wanadai bado ni mwislamu! Pls clear this confusion!