Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Mambo yote ya kidini yakafanyikie kwenye nyumba za ibada na yatagharimiwa na yataendeshwa na waumini wenyewe full stop! Mimi naamini iwapo kama serikali ikiruhusu madhehebu ya kidini yaanzishe mahakama zake na watakao patikana na hatia wapelekwe jela za Serikali, basi madhehebu ya kikristo yanaweza kuanzisha na kugharimia uendeshaji wake bila kuidai serikali hata shilingi moja.
Kwa kabila la wasukuma walikuwa na mahakama na jeshi lake la sungusungu, liliendesha mambo yake bila kupata ruzuku toka serikalini. Watu wali waamini sana sungusungu na wakawa hawapeleki mashauri yao polisi wala mahakamani. Polisi na mahakimu walivyo ona mlungula umepungua, wakalipiga vita jeshi hilo mpaka likakosa nguvu!
Je wasukuma nao wadai jeshi na mahakama zao ili amani irudi kwenye maeneo yao wanayoishi? Iwapo kama waislamu (dini ya kushushwa/kuteremshwa!) ikikubaliwa, basi na wasukuma TUTAHAMASISHANA JESHI LETU LA SUNGUSUNGU NA MAHAKAMA ZETU ZA KIMILA ZITAMKWE KWENYE KATIBA NA ZIGHARIMIWE NA SERIKALI! Na moto huo huo utakwenda mpaka kwenye makabila mengine, kisha tutaona kitakacho tokea!
Kwa kabila la wasukuma walikuwa na mahakama na jeshi lake la sungusungu, liliendesha mambo yake bila kupata ruzuku toka serikalini. Watu wali waamini sana sungusungu na wakawa hawapeleki mashauri yao polisi wala mahakamani. Polisi na mahakimu walivyo ona mlungula umepungua, wakalipiga vita jeshi hilo mpaka likakosa nguvu!
Je wasukuma nao wadai jeshi na mahakama zao ili amani irudi kwenye maeneo yao wanayoishi? Iwapo kama waislamu (dini ya kushushwa/kuteremshwa!) ikikubaliwa, basi na wasukuma TUTAHAMASISHANA JESHI LETU LA SUNGUSUNGU NA MAHAKAMA ZETU ZA KIMILA ZITAMKWE KWENYE KATIBA NA ZIGHARIMIWE NA SERIKALI! Na moto huo huo utakwenda mpaka kwenye makabila mengine, kisha tutaona kitakacho tokea!