Salaaam,
Sheikh khalifa...hiv karibuni umekuwa celebrity kwenye mitandao hata magazetini hususan pale unaposimama na kuelezea position ya waislam hasa katika teuzi za Bwana Juma Poor Manager...
Ulichonistaajabisha zaid ulifikia hadi hatua ya kuweka sample ya wasomi waislam weengi wenye ngaz za udaktari hadi uprofesa...pale ulinistaajabisha sana.
Nasema ulinistaajabisha kwa kuwa nchi hiii waislam wanaonekana hawajasoma kabisa kabisa...hapa nieleweke vizur sheikh khalifaa...siyo maana kwamba waislam wenye elimu hiyo dunia ni wengi kuliko huko upande wa pili hapana...ila nchi hii wanaonekana hawajasoma kabisa na ni wakutafuta kwa tochiii....thats why hoja yao kuuu ni kusema aaah nyinyi waislam mmezoea kulalamika lalamikaaa,kwanza hamna elimuuu...mnachojali ni madrasa tuh na watoto hawapelekwi shule...kwaiyo acheni fyoko fyoko zenu...zama hizi tunaangalia elimu elimu elimuuuu..
Sasa pale sheikh khalifa ulipokuja na sample ya japo baadhi ya hao wasomi nikajiuliza wewe umewatoa wapi na juma poor manager ameshindwa nin?.
Kipindi kikwete yupo madarakan Alhamdulillah alijaribu kuwatafuta japo kwa tochi baadhi wa waislam na kuwashirikisha katika uongozi wake...afanaleekii...kilichotokea ilikuwa ni mayowee na kwaya kila siku waislam wanapendelewaaa waislam wanapendelewa nchi ina udiniiii..
Ilifikia kipind hadi kampeni zikafanywa makanisani apewe Urais Dr Slaa kwa udini wa kikwete...sema hawa jamaa zetu wamesahau....
Siyo vyema kumpangia juma poor manager watu wa kufanya nao kazi...lakin tunachojaribu kusema ni kwamba hiii ni nchi yetu sote...once inapoonekana watu wa iman fulan na watu wa iman nyingine wanatengwa kwa visingizio visivyo na tija haijenge utaifa imara na undug wa kitaifa...
Ombi langu ambalo sheikh khalifa naomba unifikishie ni kwamba...juma poor manager asiwe na hofu na wala asijistukie...hana dhambi wala kosa kwa kutowashirikisha waislam kwenye serikali yake...ikibid apige chini waislam woote kwenye serikali yake na aweke wale anaowaona ni wake na aongoze nchi...bado sisi tutampa ushirikiano na kuzid kumwombea dua njema katika uongoz wake...
Kikubwa ni amani na utengamano wa taifa...mambo mengine haya sisi tumeshazoea....wacha tuh tupeleke watoto wetu madrasa maana hata tukisema vip ni kama kumpigia mbuzi gitaaa.
Naona tutofautishe kati ya waislam wa ukweli na waislam lalamishi ambao kazi yao nni kuupaka matope uislam ili uonekane kuwa ni tatizo katika jamii! Waislam lalamishi wana alama zifuatazo: 1. Hawaitambui Bakwata! Huwezi kutegemea mwislam asiyeheshimu hata viongozi wake mwenyewe ataweza kuheshimu serikali! 2. Wanaanza mfungo tofauti na wenzao na wanafungua tofauti na wenzao kinyume kabisa na maelekezo wa shehe mkuu wa Tanzania.Masheihk wa Zanzibar walikamatwa na Rais Shein, Rais Shein ni Mkristu? Rais wa Jamhuri alikuwa Kikwete, je na yeye alikuwa mkristu? mbona wazinzabar wamenyamaza kimya au nao ni wakristu, nimekudharau sana wewe sheikh khalifa