TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Kama kuna post niliwahi kuiweka hapa jukwaani ya kumtuhumu Rais wangu mpendwa na mstaafu wa awamu ya nne juu ya Udini, kwa heshima zote, naomba uiweke hapa hadharani. Watu wote waione, na kisha nitaomba Moderators wote washirikiane kunipiga ban ya miaka kumi kuchangia uzi wowote hapa jukwaani.Hii nchi uwa imejaa wanafiki nyie sindiyo mlikuwa mnamshambulia JK kuwa ni mdini leo kipo wapi.
Sitanii...!!!