Usilolijuwa ni usiku wa kiza. Muislaam chochote anachokipigania, kwanza huwa ni kwa dini yake. Kama anapigania "uhuru" kwa ajili anabanwa katika kuutimiza wajibu wake wa Kiislam basi ujuwe hapo ni moja kwa moja kaupigania Uhuru ili aishi kama Muislam anavyotakiwa kuishi katika Uislam.
Utaupigania uhuru kama uko huru? fikiri!
mtoto wa kike kuwa muongo haipendezi mbona katika harakati hizo hawakujiita Hezbollah au Muslim Brotherhood??? waliamua kujiita Tanganyika African Association (TAA) na baadaye Tanganyika African National Union (TANU) kwasababu harakati zao za kupigania uhuru ziliunganishwa na utanganyika wao; hiz porojo zenu za Kariakoo tafuteni wajinga wa kuwahadithia.