prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,369
chama..Uislam ni Zaidi ya Siasa..huwezi hata kuufananisha na Tasisi yoyote maana itakua ni Matusi..Umejuaje kama kilio cha sheikh Jongo cha kinafiki??? hivi mtu kuonyesha hisia zake ni unafiki?? kauli alizotoa mh. Lukuvi si sahihi alilenga kwenye kuimarisha muungano lakini hakuchagua maneno mazuri hilo nakubaliana na wewe; lakini kwa sheikh Jongo kidogo sitakubaliana na wewe zile ni hisia tu sheikh inaonekana ni mwanaCCM hakufanya lolote baya la kuwaudhi waislamu au muumini wa dini yoyote.
Yani Sheikh ulie sababu ya CCM? Huku Uislam ukikashifiwa,Tukanwa Waislam wananyanyaswa..Wanauawa..Yote haya yasimfanye kulia aje kulia kwa Nyerere?
Kwa ufupi amefanya Jambo baya sana..Siyo kawaudhi Waislam tu..Zaidi Kamuudhi Allah..
Last edited by a moderator: