Sheikh Farid: Kwanini nishitakiwe kwenye mahakama ya Tanganyika?

Hahahaha, Waislam wanasema eti Yesu wa kweli yumo Kwenye Quran, lakini ukisoma Quran hakuna Yesu alichofanya zaidi ya kuelezewa CV yake kwa juu juu, ni kama mtalii vile. Quran inawaita wakristu kuwa ni watu wa "Kitabu", hii inamaanisha tayari Bible ilikuwa tayari, Mudy amekopi verse za bible kidogo, akachanganya na mawazo yake akaunda Quran. Ndio maana utaona wakati ule watu waliamini kuwa Jua linazama ardhini, dunia ni flat.

Badala ya kufanya utafiti, Mohammad akaandika kuwa jua linazama kwenye tope la moto, hahaha

MTU aliemwerevu na kwenye akili huweka ushahidi wa maneno yake hivyo na wewe angalau ungetuwekea japo verse moja ambayo Mtume Muhammad kakopi katika Katiba ya wakristo " bible" na kutia katika kitabu cha mungu Quran.

Kwanini we we hujui mungu ana mipango take!??? Na alikuwa anawaleta mitume duniani kwa utaratibu maalum au wewe ulitaka wote waje siku moja na wakati mmoja?

Mbona huhoji kwanini ilianza zaburi, baadae taurati na baadae injili katika hicho kitabu mnachosema mna maneno ya mungu "bible"

Kwa ufahamu wangu bible ina harufu tu ya maneno ya mungu, karibu maneno tote ni maneno ya waandishi na ndio maana hapa kwetu Mara nyengine hukutana bunge la maaskofu kipalapala Dodoma na kuifanyia marekebisho ili iendane na wakati.

Wasiwasi wangu ni huu, jee mwanadamu anapata wapi uwezo wa kurekebisha maneno ya mungu? Kama Ana uwezo huo basi wanadamu ni zaidi ya mungu maana wanamkosoa mungu.
 
Humu wakileta maswala ya kukashifiana dini hakutokuwa sehemu salama hata kidogo, tunaishi kwa kuheshimiana na kupendana, naona kuna watu wanataka kuchafua hali ya hewa humu ndani, mods mko wapi?
 
Bahati mbaya sana watu wanabeba taarifa bila kuzichambua kihistoria, kuna watu wanaamini kuwa Yesu alikuwa mkristo kumbe sio kweli! ukristo umeletwa na akina Paulo(Sauli) miaka mingi baada ya Yesu kufa! Yesu na Mitume wengine kabla yake walikuwa mayahudi (Judaism).

What a moron are you??
 
MUNGU SI MZUNGU, Yesu wa Bible alitabiri hivi. Linganisha hapa utoke Gizani

UTABIRI
Yohana 16:2-4
2 Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.
3 Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
4 Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwapo pamoja nanyi.

BAADA YA MIAKA 600 UTABIRI UNATIMIA

Sura 9:123
Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu.

Sura 2:191
Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.

Surah 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Hii aya iko wazi na inajieleza vizuri tu kwa mtu anaetaka kuielewa hiyo sura ya 2 aya 191!

Jee wewe Mimi nitakapokuja kukupiga wewe utaniacha!???? Nitakapokuja kukutoa nyumbani kwako wewe utaniacha!??? Kama unataka kufahamu vizuri basi anzia 2:190 "Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui"
 
MTU aliemwerevu na kwenye akili huweka ushahidi wa maneno yake hivyo na wewe angalau ungetuwekea japo verse moja ambayo Mtume Muhammad kakopi katika Katiba ya wakristo " bible" na kutia katika kitabu cha mungu Quran.

Kwanini we we hujui mungu ana mipango take!??? Na alikuwa anawaleta mitume duniani kwa utaratibu maalum au wewe ulitaka wote waje siku moja na wakati mmoja?

Mbona huhoji kwanini ilianza zaburi, baadae taurati na baadae injili katika hicho kitabu mnachosema mna maneno ya mungu "bible"

Kwa ufahamu wangu bible ina harufu tu ya maneno ya mungu, karibu maneno tote ni maneno ya waandishi na ndio maana hapa kwetu Mara nyengine hukutana bunge la maaskofu kipalapala Dodoma na kuifanyia marekebisho ili iendane na wakati.

Wasiwasi wangu ni huu, jee mwanadamu anapata wapi uwezo wa kurekebisha maneno ya mungu? Kama Ana uwezo huo basi wanadamu ni zaidi ya mungu maana wanamkosoa mungu.

Kama kweli Bible haina ukweli, mbona hapa imetabiri ujio wa dini inayoamini kuua watu ni ibada?

Yohana 16:2-4
2 Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.
3 Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
4 Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwapo pamoja nanyi.

Mbona hapa inatabiri matunda ya mafunzo mabaya?

Matunda ni Al queda, Boko haram, kuua wasio na hatia kwa kuvaa bomu?

Matayo 7:15-20
[SUP]15 [/SUP]"Jihadharini na manabii wa uongo wanaowajia wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali. [SUP]16 [/SUP]Mtawatambua kwa matunda yao. Je, unaweza kuchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye michongoma? [SUP]17 [/SUP]Vivyo hivyo mti mzuri huzaa matunda mazuri na mti mbaya huzaa matunda mabaya. [SUP]18 [/SUP]Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya na mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri. [SUP]19 [/SUP]Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa katwa na kutupwa motoni. [SUP]20 [/SUP]Hivyo, mtawatambua kwa matunda yao."


Hapa pia inatabiri kuwa wana wa Izrael watakusanyika katika nchi yao baada ya kusambaa nchi kadhaa duniani

Ezekel 37:21
21 Ukawaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa wana wa Israeli toka kati ya mataifa walikokwenda, nami nitawakusanya pande zote, na kuwaleta katika nchi yao wenyewe;
22 nami nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi hiyo, juu ya milima ya Israeli; na mfalme mmoja atakuwa mfalme wao wote; wala hawatakuwa tena mataifa mawili, wala hawatagawanyikana kuwa falme mbili tena, hata milele.



Hahaha,Bible is the living Book
 
Hii aya iko wazi na inajieleza vizuri tu kwa mtu anaetaka kuielewa hiyo sura ya 2 aya 191!

Jee wewe Mimi nitakapokuja kukupiga wewe utaniacha!???? Nitakapokuja kukutoa nyumbani kwako wewe utaniacha!??? Kama unataka kufahamu vizuri basi anzia 2:190 "Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui"



Hhahaha, mara ngapi mmetuchomea makanisa tumewaacha, kuanzia mwaka 2001 mmechoma makanisa zaidi ya 30, mbona tumewaacha?, Mmeua Padre Zenji na Kutupa Bomu Olasit Arusha, mmeua mchungaji Geita, mbona tumewaacha?, mmewahi kuona tunaandamana kulalamika?. Pole sana, tafakari kwa umakini mistari hiyo


Hakuna kupigana kwa kwa njia ya Mungu, Mungu angekuwa mgomvi angeisha tumaliza maana kila siku tunamkosea, Mungu ni mwenye Upendo, hakika Mungu hawezi kuamulisha viumbe wake wamwage damu na kuacha yatima wakiteseka
 
Mbona Yule Gaidi kutoka zanzibar Gailani alishitakiwa Marekani na wala Farrid hajawahi kumtetea ..ashitakiwe kosa lilipofanyika
 
Nakumbuka mtu aliyerioua ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, Mohamed Gailani alihukumiwa Marekani na anatumikia kifungo huko ama Gwantanamo Bay. Makosa ya kigaidi hayana mipaka

Basi kwanini wasipelekwe Kenya ama Uganda..? Lazima wachukuliwe na Tanganyika....? Jirani mwema asiye na fadhila wala Shukurana
 
YESU hajawahi kuwa mbanguzi, alisema hivi.

Matayo 5:43-48

[SUP]43 [/SUP]“Mmesikia kuwa watu zamani walikuwa wakisema, ‘Umpende jirani yako na umchukie adui yako.’ [SUP]44 [/SUP]Lakini mimi ninawaambia, wapendeni maadui zenu na waombeeni wanaowatesa, [SUP]45 [/SUP]ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaanga zia jua lake watu waovu na watu wema; na pia huleta mvua kwa wenye haki na wasio haki. [SUP]46 [/SUP]Kama mkiwapenda wanaowapenda tu, mtapata thawabu gani? Hata wenye dhambi hufanyiana hivyo. [SUP]47 [/SUP]Na kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, mnafanya nini zaidi ya wengine? Hata watu wa mataifa wasiomjua Mungu, hufanya hivyo. [SUP]48 [/SUP]Kwa hiyo inawapasa ninyi muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.”

Kwenye Quran Mohammad kawafundisha hivi.

Surah 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Sura 9:123
Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu.[/QUpovu

Hiyo Quran 5:51 ndio ujue kuwa mungu Wa waislamu ni mungu wa kweli na hasemi uongo na hii ndio sifa ya mungu Wa kweli.

Mifano ya ipo mingi na hata wewe mwenyewe unaweza kuisibitisha kwa hii mifano michache nitakayokupa.

1)Nakurudisha nyuma harakati za kudai Uhuru Tanganyika walianzisha waislamu na walitoa Mali zao na nafsi zao kuhakikisha Tanganyika inatoka katika ukoloni na pindi walipomshirikisha nyerere katika harakati zao na walipofanikiwa kupata Uhuru jee nyerere aliwakumbuka tena waislamu,???

2) Raisi wa kwanza wa ZNZ aliposhirikiana na mkatoliki nyerere kuunganisha hizi nchi mbili jee umeona matokeo yake yalivyo sasa??? ZNZ imebaki jina tu kila kitu nyerere alikichukua.

3)Mgogoro wa palestina na israel, dunia nzima inatambua kuwa tokea 1948 wapalestina wamenyang'anywa ardhi zao na waisrael jee kuna nchi yeyote ya kikirsto inayopiga kelele juu ya hili??? Ni juzi tu kulikuwa na vita baina yao jee ulisikia kauli za mataifa ya kikiristo yalivyokuwa yanasema!???

Waisrael wana haki ya kujilinda na wapalestina wanaodai ardhi zao ni magaidi!!!????

Wapalestina zaidi ya 1800 waliouliwa wakristo kimya lakini ilipokuja propaganda ya askari mmoja kutekwa na wapalestina viongozi wakristo kina obama povu lilimtoka aachiwe
 
Heri yako unayetambua mwarabu ni mpangaji tuu katika nchi hii ya Tanzania.

Usichanganye ulevi wako wa dini na swala la maslahi ya Watu weusi katika bara hili la Africa.

Tanzania ni mali ya watu weusi.Hao waarabu, wahindi na wazungu hawana chao katika nchi hii.

Hatuwezi kuruhusu akili ndogo zinazotumiwa na maagent wa kiarabu zituvuruge sisi Watanzania. Gaidi lazima lishughulikiwe.

Tanzania inatulia na kuwa na amani kutokana na viongozi na raia wachache walioamua kusimama kwaajili ya nchi hii. Ndioo maana huwezikuta mkuu wa nchi hii na uislamu wake wa swala tano akaruhusu waarabu koko kuendelea kutumia kama maagent wa ugaidi ktk nchi. Anajua na anathamini mchango unaotolewa na wazalendo wachache wanaolinda usalama wa nchi hii.

Ninyi mnadanganya tuu, mnalewa dini na kutumikishwa kama vile hamna akili kichwani. Mwarabu aliwatesa watu weusi aliua wengi bado anatumia dini kuwagawa na kuwauwa ninyi wenyewe. Tumieni akili zenu vizuri.

Wakristu hawana muda wa kuwakumbatia wakoloni. Tunawalaani na kupinga hila zao kwa nguvu zote. Kwa taarifa yako wazungu wanajua hatupendi jinsi walivyowatesa na kuvuruga historia ya babu zetu, ndio maana wanaishi na sisi kwa adabu, wanajua tunaweza wachapa muda wowote ule. Angalia BLACK AMERICAN wanavyo fight pale tuu haki ya mtu mweusi mmoja inapokuwa violated.

Hivi tuwe wakweli ni many kati ya waarabu na wazungu wanaonyonya na kufaidika na. rasilimali za waafrika tazama madini yote migodi yote ardhi nk utumwa pia mwarabu alikuwa agent wa wazungu kama ilivyo kwa machief lkn ya wazungu hayaonekani ya waarabu ndiyo yanakuzwa kweli
 
Hakuna gaidi wakristo,kwasababu wakristo wameshazoea kuburuzwa.......wakiambiwa Yesu mungu wanakubali,wakiambiwa Yesu ni mtoto wa mungu wanakubali,wakiambiwa yesu mtume wanakubali,Mkiambiwa Yesu...........,yaani kuburuzana tu hawajui lipi la kweli lipi la uongo

Kwani wewe unapinga maneno haya kwenye Quran? hauburuzwi?

Quran 18:86

Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
 
Ndugu zangu Wakiristo bora mkae kimya ,kila kitu kinajulikana na nyie wenyewe mnajua ,ukianzia mavazi yaani uvaaji huko makanisani unatisha kama sio mstahamilivu imani unaweza kuweka kando na kuanza kulia si mnaelewa aaafu na siku hizi mmeongezea MadJ ndani ya makanisa ,rumba ziiito mkicheza hakunaga ni ibada hizo japo hazionekani sehemu yeyote ndani ya bible ,na mavazi ya pasua njambe wavaayo akina dada ni hatari ,hivi kanisa halioni ,limekemea ,limezungumzia namna gani kanisa liheshimiwe ,huko mtu akiwa nje yeye na imani yake lakini ndani ya kanisa ...something is wrooong ! Untold story !

Sasa embu kasomeni John 8: 7-18 pia
Acts 7:55,56 and Col. 3:1
 
YESU hajawahi kuwa mbanguzi, alisema hivi.

Matayo 5:43-48

[SUP]43 [/SUP]"Mmesikia kuwa watu zamani walikuwa wakisema, ‘Umpende jirani yako na umchukie adui yako.' [SUP]44 [/SUP]Lakini mimi ninawaambia, wapendeni maadui zenu na waombeeni wanaowatesa, [SUP]45 [/SUP]ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaanga zia jua lake watu waovu na watu wema; na pia huleta mvua kwa wenye haki na wasio haki. [SUP]46 [/SUP]Kama mkiwapenda wanaowapenda tu, mtapata thawabu gani? Hata wenye dhambi hufanyiana hivyo. [SUP]47 [/SUP]Na kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, mnafanya nini zaidi ya wengine? Hata watu wa mataifa wasiomjua Mungu, hufanya hivyo. [SUP]48 [/SUP]Kwa hiyo inawapasa ninyi muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu."

Kwenye Quran Mohammad kawafundisha hivi.

Surah 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Sura 9:123
Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu.[/QUpovu

Hiyo Quran 5:51 ndio ujue kuwa mungu Wa waislamu ni mungu wa kweli na hasemi uongo na hii ndio sifa ya mungu Wa kweli.

Mifano ya ipo mingi na hata wewe mwenyewe unaweza kuisibitisha kwa hii mifano michache nitakayokupa.

1)Nakurudisha nyuma harakati za kudai Uhuru Tanganyika walianzisha waislamu na walitoa Mali zao na nafsi zao kuhakikisha Tanganyika inatoka katika ukoloni na pindi walipomshirikisha nyerere katika harakati zao na walipofanikiwa kupata Uhuru jee nyerere aliwakumbuka tena waislamu,???

2) Raisi wa kwanza wa ZNZ aliposhirikiana na mkatoliki nyerere kuunganisha hizi nchi mbili jee umeona matokeo yake yalivyo sasa??? ZNZ imebaki jina tu kila kitu nyerere alikichukua.

3)Mgogoro wa palestina na israel, dunia nzima inatambua kuwa tokea 1948 wapalestina wamenyang'anywa ardhi zao na waisrael jee kuna nchi yeyote ya kikirsto inayopiga kelele juu ya hili??? Ni juzi tu kulikuwa na vita baina yao jee ulisikia kauli za mataifa ya kikiristo yalivyokuwa yanasema!???

Waisrael wana haki ya kujilinda na wapalestina wanaodai ardhi zao ni magaidi!!!????

Wapalestina zaidi ya 1800 waliouliwa wakristo kimya lakini ilipokuja propaganda ya askari mmoja kutekwa na wapalestina viongozi wakristo kina obama povu lilimtoka aachiwe

Wewe ujitambui, Ebu nenda kwenye mitandao utafute, katika mgogoro unaoendelea sasa, ni nchi gani zimekuwa zikiandamana kwa wingi kutetea wapalestina, kati ya nchi za kiislam na kikristo? Pole
 
wakristo wanajua thamani ya roho na kutendea wengine mambo yale ambayo ungependa utendewe. Nyie hamna, mmejaa ukaili tuu sijui mbingu gani mnayopigia jaramba

Hivi Hitler alikuwa muislam? Endeleeni na ubaguzi halafu muone kama mtabaki na nchi,makaburu wamefanya mambo mazito lakini with wameamua kusahau na kujenga nchi yao hawaambiwi warudi ulaya Leo znz kidogo tu rudini kwenu kwani nani kwao hapa mwenye asiili ya Tanganyika no mgogo peke yake engine ni wa kuja tu.kuna MTU mmoja alipata kuniambia waafrika ni wabaguzi sana Selma hawana uwezo nilimkatalia sasa naanza kuona tofauti nikiangalia Sudan ya kusini hapa Tanzania inavyoiangalia znz kwa jicho la kibaguzi kabisa,ikifikia suala znz na waarabu khaki za binamu pembeni na.hasa wakiwa waislam ndiyo usiseme.il a niwaambie kama mnataka ukombozi wa kweli ache I ubaguzi,ubaguzi unapofua we anagalia wabaguzi hapo juu sababu ya chuki hawamuoni hata adui yao anaewanyonya.
 
Wacha kujitoa ufahamu wewe, gaidi si mwislam, lakini magaidi wengi wanatumia jina la Allah kuua. Kuna vifungu vingi kwenye Quran vinahamasisha kuua ili kutetea dini ya Allah. Nakupa Assignment, Al queda ni dini gani?, Al shaabab ni dini gani, Boko haram ni dini gani?, ISIL ni dini gani?

Ooh yes its true kakende.a.k.a ka.pumb.u bila shaka maana ya maneno hayo mawili hayajakosewa kwenye dictionary si ndio eeh??

Katika hiyo lists ya hao magaid wa kiislam wanaoongozwa kufanya ugaid huo na uislam tuongeze na hizi.

1.Antibalaka.

2.Lord resistance army.

3.IDF

4.Coalition of the willing who declared crusade wars in mideast years ago.

It sound fantastic au siyo.

Lets move on.

Haki na batil itafahamika tu.

Nyinyi mnapanga yenu na mungu anapanga yake.

Na hakika mungu ni mbora kabisa katika wapangaji wa mambo.

Hayakuwa haya maisha ya dunia ila ni starehe ya muda mchache kabisa.

Na malipo yapo hapa hapa na uko akhera.

Makafir huko wana adhabu kali kabisa ya kufedhehesha.

Thats why siku zote makafiri huogopa kifo na huyapenda sana haya maisha ya dunia hii.
 
UTABIRI

Yohana 16:2-4
2 Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.


UTABILI UNATIMIA

Sasa watu wanaua huku wakisema "Takbir, Allah akbar". Wanavaa mabomu kiunoni wakiamini wanamfia Mungu. hahaha, thanks Jesus, hii inaonesha wewe super power, wewe si wadunia hii
 
pimbi wewe nina degree hapa,narudia tena wakristo tutawatawala ninyi waislamu duniani kote milele.shekhe faridi atajuta kwanini analazimisha mfumo wa sharia

Degree unajishaua paka wewe, watu wana masters zao na wametulia, acha kebehi zako za kipumbavupumbavu.
 
Back
Top Bottom