Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA


"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Pazito hawa CHADEMA wapuuzi sana mara watukane Waislam mara watukane Wasukuma kisa hawawaungi mkono! Waacheni nchi wataisikia kwenye magazeti most of them are sadest!
 
Fatma K Hana akili hata kidogo! Maoni binafsi ya Martin Maranja Masese kaya address kama ya CDM! Huu ni uzwazwa wa Hali ya juu! Fatma K anachochea UDINI.
Kwa pale Masese wenu anapowatukana watu kila siku huku mkimsapoti kwa comments zenu hapo anakuwa Chadema ila akibugi kama hivi hapo inakuwa ni maoni yake binafsi?
Chagadema acheni unyumbu!
 
CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.

Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Mbona CCM inaongozwa na vichaa, Malaya na wagonjwa wa ukimwi, au tukutajie?
 
CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.

Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Halafu cha ajabu hata wewe sina hakika kama una akili timamu. Hatuchagui chama kwa sababu ya mahaba kama Yako, ambayo hata wenzio wanatilia shaka uwezo wako wa kufikifiri, ndio sababu unebakia wewe tu kudaka kila kinachotupwa humu.
Tunachagua chama kitakachoondoa kero za kijinga ambazo ziko kwenye uwezo wetu kuzitatua na waliopo Sasa wameshindwa.
1. Kero ya umeme, Rais aliliambia taifa mwisho wa shida ya umeme ni machi 2024, bunge ambalo limejaa wanaccm limeonyesha mashaka juu ya kauli yake limeongeza mpaka juni na hawajataja mwaka. Kimsingi hawaamini kauli ya Rais,ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm.
2. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema chama chochote kinachofirisika kisiasa hutafuta visababu vya hovyo kuhusu matatizo yanayowakumba wananchi, tuambie, hizo mvua zinazotajwa kuwa sababu ya kukosa sukar,i zinanyesha Tanzania peke yake?!! Na vipimo mabwawa ya umeme,utatuambia majina yote yameelekezwa JNHP.
3. Hizo kero anazoambiwa Makonda nani amezileta? Na kote alikopita nani amewajibishwa?
4. Ninachoamini ccm ikiacha unafiki na wewe ukiwemo kuna mahali tutafika, ni hasara sana nchi kuwa na vijana wa aina Yako,natamani ungekuwa Mzee tukitujua muda mfupi ujao tutapumua.
 
CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.

Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Namna pekee ya kuwajua Watanzania kama wana akili timamu, au la, ni TUME HURU YA UCHAGUZI.
Chama chochote kinachoogopa Tume Huru ya Uchaguzi kina mambo mawili.
Mosi, kinawadharau sana Watanzania.
Pili, labda kimeng'amua kuwa hakina Wapigakura.
Haya mengine yanayoandikwa ni kuganga njaa.
Tupiganie Tume Huru ya Uchaguzi ili tujue Watanzania wanataka kuongozwa na Chama kipi
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Kwa hiyo baada ya kutoka Vatican, wanaona wamesawazisha?
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Haya hivyo dada chadema wanaweza kuwa wadini ......ila waislam tanzania 32% ...pagans n din zingine 18% ...50% wakristo

Hizi data za zamani sasa hivi wanaweza kuwa wengi zaida maana sub saharan ukristo unakuwa kwa kasi ...ila kwa dunia uislam unakuwa kwa kasi sio kwa watu kuhamia ila ni kwa kuzaliana
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Dini,rushwa,ukabila, virus vinavyoitafuna Afrika
 
CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.

Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Wenye utaahura kama wewe ndo wataikataa chadema
 
Fatma ajiandae kutukanwa kwasababu nyumbu huwa wanamuogopa mmiliki wao tu Mbowe. Hata yeye walishaanza kumtukana ikabidi awanywee mizinga kadhaa ya Konyagi na kwenda kuwanyea kwenye mkutano wa hadhara huko Mwanza. CHADEMA sio mbadala wa CCM na haitakaa itokee kuwa mbadala wa CCM. Wao washindane na ACT kugombea nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani.
Siku hizi wameongezewa jina zaidi ya nyumbu ambalo ni Kenge wa mzee Mbowe
 
Back
Top Bottom