imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,053
Bakwata wanajulikana ni moja ya Jumuiya za CCM.hakuna tuhuma nzito hapo ni ukweli kabisa chadema wanahubiri udini sana....
Alianza Mwaipaya kuwananga waisilamu na viongoxi wa Bakwata
Hivi sasa lema na ubaguzi kwa waisilamu🐒