Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA


"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Hicho kimama kikae Kimya kimeona kwa sasa mtawala ni wa kundi lake kimeanza kunyanyua kimdomo chake mbona wakati wa JPM kilikuwa kila siku kinapost vitu vya hovyo tu mtandaoni?kwa kuwa anayetawala ni muislamu mwenzake tena Mzanzibari ndo kinajua kukenua somo lake.kitulie
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Kwani CHADEMA wamefanya nini?
 
Malalamiko ya Fatma hayahusiani na tamko lolote la Lema. Fatma amekasirika kwa nini wakina Martin wamehoji kauli ya Bashe kuwa sukari itapatikana kabla ya mwezi wa Ramadhani. Yeye akaona kuwa Bashe anahojiwa kwa sababu ni muislamu na kuwa ni uthibitisho kuwa CDM hawafurahii jambo lolote linalowafaidisha waislamu. Anacho sahau ( kwa makusudi) ni kuwa Martin si msemaji wa CDM. Na alichouliza kimetokana na Bashe kuingiza suala la Ramadhani katika juhudi za kuondoa uhaba wa sukari. Kuna waliosema mbona waziri wa nishati aliyekuwa mkristo aliwahi kuwaagiza Tanesco wasikate umeme siku ya Krismasi na hamna ambae alilalamika. Mimi sidhani kama mtu unaweza kulinganisha nafuu ya siku moja na hii ya kuondoa kabisa kero iliyoendelea kwa muda mrefu. Waziri aliteleza. Angesema tu sukari itapatikana ndani ya wiki moja bila kuingiza suala mfungo wa dini moja. Kwa kusema hivyo kunakaribisha maswali kuwa kama ni rahisi hivyo kwa nini hakuhakikisha sukari inapatikana wakati wa Kwaresima? Ni tatizo la kujitakia na Fatma should know better kuliko kuongeza kuni kwenye suala la udini.

Amandla...
 
Lakini CHADEMA kwa sasa wana sapoti kubwa kutoka kwenye kundi la kina James Delicious
 

Attachments

  • 4_5924550928316240721.mp4
    5.2 MB
Huyu lema wangempeleka Rwanda tu 🇷🇼 hatutaki watu wenye chuki za kidini, ukabila na ubaguzi.

Nitawashangaa sana wasukuma na wanyakyusa wakiwapigia kura chadema, nnavyowajua wasukuma huwa hawadanganyiki kirahisi.

Pwani ambayo asilimia kubwa ni waislamu, hawana time na chadema, mpo vizuri sana.
Mgao wa Umeme Mfumuko wa Bei Maisha yako Juu Maji hayatoki halafu wewe unaleta upuuzi?
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
yeye mpaka kufikia kuwapa label Chadema ni wadini baada kuona nini hasa?

atuelezee ameona nini mpaka kufikia hiyo characterization

halafu ndio tutoke hapo twende mbele na accusations
 
Fatma Karume ndiye mwenye udini na ukanda. Watu wenye taaluma kama yake wametoa maoni yao kuhusu Bandari. Yeye alinyamaza kimya kwa vile Samia ni dini yake na anatoka kwao...mdini na mkanda. Aache ujinga na upuuzi
 
Baada tu ya Hangaya kukutana na Papa naona sasa ccm wameamua kuungana na mtetezi wa mashoga Kwa kisingizio Cha Chadema ni wadini.
 
Fatma ajiandae kutukanwa kwasababu nyumbu huwa wanamuogopa mmiliki wao tu Mbowe. Hata yeye walishaanza kumtukana ikabidi awanywee mizinga kadhaa ya Konyagi na kwenda kuwanyea kwenye mkutano wa hadhara huko Mwanza. CHADEMA sio mbadala wa CCM na haitakaa itokee kuwa mbadala wa CCM. Wao washindane na ACT kugombea nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani.
 
CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.

Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
CDM ni janga kwa nchi jamani
 
Back
Top Bottom