Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Lets think outside the box Great Thinkers.Mashaidi wanasema walimsikia akisema au kutamka maneno ya ubaguzi,je ilibidi wamshitaki Lema kwa Burian,Polisi au kwa msimamizi wa uchaguzi?
Je hayo maneno au kauri alizo tamka zinaweza zikawekwa in public yaani alivyoyatamka na tukasikia?
Je gazeti la mwananchi lina uhalali wa kuweka in public mashtaka au madai na ushaidi ambao bado huko mahakamani?
Mtuhumiwa angekuwa niwa CCM Jk bila au CJ wangekuwa wameshaingilia kati kuhusu gazeti ili nakulikataza kuzungumzia kesi ambayo hiko mahakamani lakini kwakuwa wako kimasilai zaidi wamemute.Then what to do.
Je hayo maneno au kauri alizo tamka zinaweza zikawekwa in public yaani alivyoyatamka na tukasikia?
Je gazeti la mwananchi lina uhalali wa kuweka in public mashtaka au madai na ushaidi ambao bado huko mahakamani?
Mtuhumiwa angekuwa niwa CCM Jk bila au CJ wangekuwa wameshaingilia kati kuhusu gazeti ili nakulikataza kuzungumzia kesi ambayo hiko mahakamani lakini kwakuwa wako kimasilai zaidi wamemute.Then what to do.