L Leornado JF-Expert Member Nov 12, 2010 1,529 196 Apr 24, 2011 #1 Jamaa kuanzia kofia hadi .....vyote Chelsea hahahaa, wasukuma bwana. Mcheki shabiki huyu from MICHUZI
Jamaa kuanzia kofia hadi .....vyote Chelsea hahahaa, wasukuma bwana. Mcheki shabiki huyu from MICHUZI
BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Apr 24, 2011 #2 Duuh ana uchungu na timu ya chelsea kuliko hata mmiliki abrahamovic!
Maarko JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,189 602 Apr 24, 2011 #3 Hiyo safi sana lazima uonyesha ukipendacho bila woga,Hongera shabiki,Chelsea Hoyeee.
Esperance JF-Expert Member Jan 27, 2011 364 84 Apr 24, 2011 #4 Kweli huyu msukuma pure bado baskeli tu hapo na karedio nyuma.
Ng'wanza Madaso JF-Expert Member Oct 21, 2008 2,268 333 Apr 24, 2011 #5 Na hiyo skafu ya nini na Joto lote la Mwanza?
Shomari JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,112 241 Apr 24, 2011 #6 huyu anaonekana ni Chelsea damu damu, hadi nyumba kaikala bluu
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Apr 25, 2011 #7 Hahahh hiyo suluali au kaboka sijui pedo lol:smile-big::smile-big:
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,870 155,833 Apr 25, 2011 #10 Bila shaka na mshobobo wake kaupiga tatoo CHELSEA
KWI KWI JF-Expert Member Mar 31, 2011 286 84 Apr 25, 2011 #11 Ng'wanza Madaso said: Na hiyo skafu ya nini na Joto lote la Mwanza? Click to expand... Anakufa na ''fasion''......
Ng'wanza Madaso said: Na hiyo skafu ya nini na Joto lote la Mwanza? Click to expand... Anakufa na ''fasion''......
Esperance JF-Expert Member Jan 27, 2011 364 84 Apr 25, 2011 #12 Ng'wanza Madaso said: Na hiyo skafu ya nini na Joto lote la Mwanza? Click to expand... :laugh::laugh:
Ng'wanza Madaso said: Na hiyo skafu ya nini na Joto lote la Mwanza? Click to expand... :laugh::laugh:
M Masuke JF-Expert Member Feb 28, 2008 4,610 1,264 Apr 25, 2011 #13 Esperance said: Kweli huyu msukuma pure bado baskeli tu hapo na karedio nyuma. Click to expand... Teh teh, kabaiskeli nilikuwa nimechukua mimi, karedio kaliishiwa betri akakaacha nyumbani.
Esperance said: Kweli huyu msukuma pure bado baskeli tu hapo na karedio nyuma. Click to expand... Teh teh, kabaiskeli nilikuwa nimechukua mimi, karedio kaliishiwa betri akakaacha nyumbani.
AK-47 JF-Expert Member Nov 12, 2009 1,373 199 Apr 25, 2011 #15 Yaani hadi nyumba iliyopo nyuma yake rangi ya timu yake Chelsea
Mshume Kiyate JF-Expert Member Feb 27, 2011 6,766 894 Apr 25, 2011 #16 Wang`wise umependeza najua utakuwa mjanja wa bariadi madukani
Mhadzabe JF-Expert Member May 20, 2009 3,226 4,730 Apr 26, 2011 #17 Ng'wanza Madaso said: Na hiyo skafu ya nini na Joto lote la Mwanza? Click to expand... nani kakwambia saivi hapa Mwanza kunajoto? Rubbish!
Ng'wanza Madaso said: Na hiyo skafu ya nini na Joto lote la Mwanza? Click to expand... nani kakwambia saivi hapa Mwanza kunajoto? Rubbish!
dazu JF-Expert Member Feb 26, 2011 365 76 Apr 26, 2011 #18 Tukiishabikia Taifa Stars namna hii, soka letu litakua
Ngangasyonga JF-Expert Member Sep 13, 2010 455 70 Apr 27, 2011 #19 Du!! kakitambi ka wanzuki poa sana!!
Magulumangu JF-Expert Member Jan 7, 2010 3,047 452 Apr 27, 2011 #20 Sasa ashabikie nn kama timu zetu ndo hivyo tena.....Bongo njaa jamani bola mtu upende za wenzetu