Tukishinda tunakupiga vidole. Andaa lokundu.Unprofessional
Je mtashinda Sasa?
Na mkifungwa upigwe vidole wewe? Au wewe utafanywa nini?Siyo kukatwa vidole, APIGWE VIDOLE. Na wapigaji tupo!
Shabiki wa Yanga aliyejitambulisha kwa jina la Baba Rabiyat ametoa ahadi ya kupunguzwa idadi ya vidole kwenye mkono wake wa kulia endapo Simba itashinda mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly!
Source: Clouds Media
Makolo na mtasema[emoji2ye
Duh!!Shabiki wa Yanga aliyejitambulisha kwa jina la Baba Rabiyat ametoa ahadi ya kupunguzwa idadi ya vidole kwenye mkono wake wa kulia endapo Simba itashinda mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly!
Source: Clouds Media
Makolo na mtasemaView attachment 2791096
Aulizwe aliyeahidi mambo ya kukatwa vidole.Na mkifungwa upigwe vidole wewe? Au wewe utafanywa nini?
AahaaaaShabiki wa Yanga aliyejitambulisha kwa jina la Baba Rabiyat ametoa ahadi ya kupunguzwa idadi ya vidole kwenye mkono wake wa kulia endapo Simba itashinda mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly!
Source: Clouds Media
Makolo na mtasemaView attachment 2791096
Aulizwe aliyeahidi mambo ya kukatwa vidole.
Khamsa..!!Kolo mnakula 5_ 0
Kiklio cha ngwena!! ngwena!! ngwena!! ngwena!! naona klinaendelea na sjui mwiusho wake ni wapi!! Hivi huwa unajisikiaje dua yako mbaya kwa simba inapokuwa haifankiwi kama iliposhindwa kufanikiwa kwenye mechi ile ya kwanza!! Mwenzio Nalia Ngwena anaendeleaje?Kolo mnakula 5_ 0