Shabiki: Simba ikishinda nitolewe vidole

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
Shabiki wa Yanga aliyejitambulisha kwa jina la Baba Rabiyat ametoa ahadi ya kupunguzwa idadi ya vidole kwenye mkono wake wa kulia endapo Simba itashinda mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly!

Source: Clouds Media

Makolo na mtasema
Screenshot_20231024-074837.jpg
 
Shabiki wa Yanga aliyejitambulisha kwa jina la Baba Rabiyat ametoa ahadi ya kupunguzwa idadi ya vidole kwenye mkono wake wa kulia endapo Simba itashinda mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly!

Source: Clouds Media

Makolo na mtasema[emoji2ye

Shabiki wa Yanga aliyejitambulisha kwa jina la Baba Rabiyat ametoa ahadi ya kupunguzwa idadi ya vidole kwenye mkono wake wa kulia endapo Simba itashinda mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly!

Source: Clouds Media

Makolo na mtasemaView attachment 2791096
Duh!!
 
Kolo mnakula 5_ 0
Kiklio cha ngwena!! ngwena!! ngwena!! ngwena!! naona klinaendelea na sjui mwiusho wake ni wapi!! Hivi huwa unajisikiaje dua yako mbaya kwa simba inapokuwa haifankiwi kama iliposhindwa kufanikiwa kwenye mechi ile ya kwanza!! Mwenzio Nalia Ngwena anaendeleaje?
 
Back
Top Bottom