hahaha, wanaume mnatufanya kuwa wajinga sometimes. wengine wanapenda watu wanene wengine wembamba tuchukue lipi sasa?
Kila mwanaume akae acoording to her need.
NA mwanamume mwenye kitambi cha BEER ,robo round si atahema kama anataka kufa
NA mwanamume mwenye kitambi cha BEER ,robo round si atahema kama anataka kufa
AKINA dada mnaonijua humu JF,naomba mumwambie masanilo ukweliLikewise mtu kama John Komba...ama Mghana Msindai hahahaha ...watu wote wawe physically fit ndo watafurahia mapenzi...SOA vipi mzee bado unakitambi ama waenda GYM mara moja kwa mwezi?
Wanawake wanene ndio wenye mapenzi!!
Wana mawowo na tits za kufa mtu!
Likewise mtu kama John Komba...ama Mghana Msindai hahahaha ...watu wote wawe physically fit ndo watafurahia mapenzi...SOA vipi mzee bado unakitambi ama waenda GYM mara moja kwa mwezi?
huyu masanilo nadhani kanifananisha na NNMasanilo hebu mtoe SOA kwenye hilo kundi la presha inapanda na kushuka.Hana kitambi kabisaaaaaaaa.portable wa nguvu,tena handsome.
inaonekana humu jamvini vitambi vye beer kwa sana tu,yaani watu wameridhika
Maana yangu kuna watu wanapenda vitambi kwa wake au mademu zao, sasa Gym ataenda saa ngapi wakati mzee ndiyo anavyopenda. Ila kwa ajili ya kukeep fit, tutaanza kwenda.
ili tusiheme vitandani.
inaonekana humu jamvini vitambi vye beer kwa sana tu,yaani watu wameridhika