Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Hehehhhehehe.....walisema hayawi hayawi leo yamekua!!
Wapi champagne???
Kloro utakufa kwa wivu...mwenzio huyo anafanya kweli!!!
mama mchungaji hauko fair. kondoo tumepoteza imani na wewe. tutashirikiana na watunisia kukutoa madarakani.
 
Hahahahha...utajibeba!!!Mama mchungaji alizaliwa kuongoza na atakufa akiongoza!!:first:
halaf jana uliahidi leo utarusha sredi ya kunifagilia mbona mpaka sasa umeme umezimwa? nitaanzisha uhusiano na mke wa jirani ujue. do something lizzy!
 
Hehehhhehehe.....walisema hayawi hayawi leo yamekua!!
Wapi champagne???
Kloro utakufa kwa wivu...mwenzio huyo anafanya kweli!!!

mmmhhh usimuamini Hashy,anabadilika within seconds....mi hadi aweke hiyo pete.....
 
halaf jana uliahidi leo utarusha sredi ya kunifagilia mbona mpaka sasa umeme umezimwa? nitaanzisha uhusiano na mke wa jirani ujue. do something lizzy!

Nlikua naiandaa wakati nakuunganisha na Michelle....ila baada ya kugundua umeoa nikapata mshtuko wa ghafla mpaka ufagilio ukavunjika!!!
 
Bado hajatamka yale maneno......siwezi kuacha LOAN kabla sija-confirm.....nisije kosa yote.....:thinking:

True Companion - Marc Cohn

Baby i've been searching like everybody else
Can't say nothing different about myself
Sometimes i'm an angel
And sometimes i'm cruel
And when it comes to love
I'm just another fool
Yes, i'll climb a mountain
I'm gonna swim the sea
There ain't no act of god girl
Could keep you safe from me
My arms are reaching out
Out across this canyon
I'm asking you to be my true companion
True companion
True companion

So don't you dare and try to walk away
I've got my heart set on our wedding day
I've got this vision of a girl in white
Made my decision that it's you allright
And when i take your hand
I'll watch my heart set sail
I'll take my trembling fingers

And i'll lift up your veil
Then i'll take you home
And with wild abandon
Make love to you just like a true companion
You are my true companion
I got a true companion
True companion

When the years have done irreparable harm
I can see us walking slowly arm in arm
Just like the couple on the corner do
'cause girl i will always be in love with you
And when i look in your eyes
I'll still see that spark
Until the shadows fall
Until the room grows dark
Then when i leave this earth
I'll be with the angels standin'
I'll be out there waiting for my true companion
Just for my true companion
True companion
True companion
 
Nlikua naiandaa wakati nakuunganisha na Michelle....ila baada ya kugundua umeoa nikapata mshtuko wa ghafla mpaka ufagilio ukavunjika!!!
dah! ufagio nitalipia. hayo mengine tutayajadili kwa urefu baadhi ya memba wakiwa offline
 
hebu kamata hii kwanza



Mama Mchungaji+Klorokwini,HASHYCOOL ndo anasema hayo hapo chini;mimi nasahau yaliyopita naganga yajayo........

Baby i've been searching like everybody else
Can't say nothing different about myself
Sometimes i'm an angel
And sometimes i'm cruel
And when it comes to love
I'm just another fool
Yes, i'll climb a mountain
I'm gonna swim the sea
There ain't no act of god girl
Could keep you safe from me
My arms are reaching out
Out across this canyon
I'm asking you to be my true companion
True companion
True companion

So don't you dare and try to walk away
I've got my heart set on our wedding day
I've got this vision of a girl in white
Made my decision that it's you allright
And when i take your hand
I'll watch my heart set sail
I'll take my trembling fingers

And i'll lift up your veil
Then i'll take you home
And with wild abandon
Make love to you just like a true companion
You are my true companion
I got a true companion
True companion

When the years have done irreparable harm
I can see us walking slowly arm in arm
Just like the couple on the corner do
'cause girl i will always be in love with you
And when i look in your eyes
I'll still see that spark
Until the shadows fall
Until the room grows dark
Then when i leave this earth
I'll be with the angels standin'
I'll be out there waiting for my true companion
Just for my true companion
True companion
True companion
 
Last edited by a moderator:
Mama Mchungaji+Klorokwini,HASHYCOOL ndo anasema hayo hapo chini;mimi nasahau yaliyopita naganga yajayo........[


mimi acha nikaanzishe sredi la michango ya harusi. acha tuwasiliane na uporoto atayarishe mbege
 
mimi acha nikaanzishe sredi la michango ya harusi. acha tuwasiliane na uporoto atayarishe mbege

Tutashukuru jamani....at last,sala zimejibiwa.....yaani Muomba.....hakosi fungu lake,subira yavuta heri,mvumilivu hula mbivu,chanda chema huvikwa pete,hayawi hayawi yamekuwa,..............:laugh::laugh:
 
Back
Top Bottom